• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ULAJI nyama ya panya kufungua fursa mpya za utalii Mtwara

Tarehe ya kuwekwa: July 7th, 2018

UMAARUFU wa mkoa wa Mtwara katika kula nyama ya panya ni fursa mojawapo ya kuvutia utalii mkoani hapa.  Hilo litawezekana iwapo jamii ya watu wanaotumia chakula hicho watawekewa mazingira mazuri ya kujitangaza na kukitangaza chakula hicho kupitia matukio mbalimbali ikiwemo ‘Panya festival’ au panya Choma.

Akizungumza katika kipindi cha safiri nasi kilichokuwa kikirushwa moja kwa moja kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara leo, Mhe. Gelasius Byakanwa amesema hilo ni mojawapo ya malengo yake kuhakikisha fursa mbalimbali za mkoa wa Mtwara ikiwemo ulaji wa nyama ya panya unatumika kama kivutio. Aidha katika ratiba yake amepanga kabla ya mwezi wa saba mwaka huu kuandaa tukio ambalo na yeye atashiriki kula nyama hiyo. 

Anasema fursa hiyo inaweza kuwavuta watu wengi kutoka ndani na nje ya nchi na kuufanya mkoa wa Mtwara kujulikana zaidi. Aidha itatoa fursa ya kufanya maboresho katika chakula hicho katika mtindo bora na wa kisasa zaidi.

“Kwa nini tusitangaze, isiwe rasmi kwamba panya ni chakula, tukawakaribisha mikoa mingine kwamba njooni Mtwara tule panya. Lakini kama sisi wenyewe tukikitambua na kukihalalisha kuwa hiki ni chakula bila kuitenga ile jamii… so long as hakina madhara kwa afya ya mtu, na pengine imani yako haizuii, mimi sioni sababu kwa nini tusikichukuwe na chenyewe kikawa kivutio”. Amesema Mhe.Byakanwa.

Mhe. Byakanwa ambaye ni Mwenyeji wa Mkoa wa Kagera ametolea mfano mkoa huo kwamba ni maarufu kwa ulaji wa Senene na kwamba chakula hicho sasa kimevuka mipaka kutoka Bukoba hadi nje ya nchi.

“Kule Bukoba tunakula senene, mwanzoni senene walionekana wanaliwa Bukoba tu lakini sasa kila sehemu wanakula, mpaka wengine wanakuwa exported nje ya nchi. Kwa nini panya nao wasiwe hivyo? 

CHANZO CHA HABARI NI TOVUTI YA OFISI YA  MKOA WA MTWARA

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa