• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UPATIKANAJI wa maji Manispaa ya Songea wafikia zaidi ya asilimia 50

Tarehe ya kuwekwa: May 20th, 2019

Mpaka kufikia Desemba 2018 Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imefikia asilimia 50.1 sawa na idadi ya watu 45,929, idadi halisi ya wakazi waishio pembezoni mwa mji 90,728 ambao bado hawajafikiwa na mtandao wa mamlaka ya maji safi na taka (SOUWASA).

Katika mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri inaendelea kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya maji kama ifuatavyo:Visima 49 vimejengwa kati ya visima 60 Kwa gharama ya MkatabaTshs. 1,537,533,400 na Mtandao wa maji ya bomba mita 31.122 umejengwa na vituo vya maji 5 kwa gharama ya mkataba wa Tshs.  681,570,020

Halmashauri ya Manispaa ya Songea  inaendelea kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya maji kupitia programu ya maji na usafi wa mazingira awamu ya pili katika Mitaa ya Mwengemshindo, Pambazuko, Mletele, Mjimwema, Makemba, Mdundiko, Nonganonga, Lilambo A, Lilambo B, Liwumbu, Nangwai, Subira Kati, Kisiwani C, Lami na Kihekwa. Katika Mitaa hiyo yote ujenzi wa miundombinu unaendelea na upo hatua mbalimbali ya ujenzi. Miradi hiyo ikikamilika itagharimu kiasi cha Tshs. 3,479, 834,306 na itaongeza upatikanaji wa huduma ya maji kutoka 50.1% hadi kufikia 70.2% na kufanya ongezeko la watu kupata huduma ya maji kutoka 45,929 hadi kufikia watu 64,356.

Lengo la Halmashauri ni kutekeleza Sera ya maji na malengo ya Serikali kutoa huduma ya maji safi na salama kufikia asilimia 85 na zaidi, katika maeneo ya pembezoni mwa Mji ifikapo mwaka 2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa