• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UTAFITI UNAONYESHA WANAWAKE WENYE UMRI WA CHINI YA MIAKA 21 HUPELEKEA KUJIFUNGUA MTOTO MWENYE UZITO PUNGUFU.

Tarehe ya kuwekwa: May 15th, 2024

Mwenyekiti wa  kamati ya Lishe Manispaa ya Songea  Wakili.  Bashiri Muhoja amewataka wataalamu wa idara ya kilimo na mifugo,Mipango, Fedha, Elimu Msingi na Sekondari pamoja na wataalamu idara ya Afya wahakikishe wanasimamia  na kutekeleza muongozo wa Mkataba wa Lishe ili kuondoa udumavu na Utapiamlo.

Kauli hiyo imetolewa kwenye kikao cha kamati ya Lishe Manispaa ya Songea kilichofanyika tarehe 15 Mei 2024 kilichohudhuriwa na wakuu wa idara mbalimbali kwa lengo la kufanya ufuatiliaji wa afua za lishe katika kipindi cha Januari hadi Machi 2024.

Amewataka wakuu wa shule, pamoja na bodi za shule kuhakikisha kila mzabuni anayepeleka chakula shuleni ahakikishe anaweka viini lishe, pia kila shule iunde kamati za lishe za shule pamoja na uanzishaji wa bustani za mboga mboga. “ alisema Wakili. Muhoja.”



Kwa upande wake Mganga Mkuu Manispaa ya Songea  Dkt. Amos Mwenda amewataka wananchi kuwa na mpango wa uzazi salama kwa mzazi kabla kupanga kushika mimba miezi mitatau kabla ni lazima wapime afya zao ili kukinga magonjwa kwa mtoto atakayezaliwa.

Dkt. Mwenda amesema kuwa  utafiti umefanyika kwa wanawake wengi wanaojifungua wengi wao hujifungua watoto wenye uzito pungufu ambao unatokana na baadhi ya wanawake  hao  kuwa na umri mdogo chini ya miaka 21 ambao umekuwa chanzo kikubwa cha tatizo hilo.

IMEANDALIWA NA;        

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa