• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIJIJI sita Songea kunufaika na mnyororo wa thamani ya mazao ya misitu

Tarehe ya kuwekwa: May 7th, 2019

Vijiji sita vya Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma kunufaika na mradi wa mnyororo wa kuendeleza thamani wa mazao ya misitu ambayo ni mbao, mkaa na asali

Hayo ameyasema mratibu wa mradi huo Mkoani Ruvuma bw Tengule Mutunda katika mafunzo ya kuutambulisha mradi kwa madiwani na watendaji wa Halmashauri yaliyo fanyika havi karibauni katika ukubi wa Halmashauri hiyo.

Vijiji sita ambavyo vitanufaika na mradi huo ni Litowa,Liweta,Kituro, Matuhi,Ndongosi na Muhukuru

Bw Tengule amesema mradi huo una matokeo chanya ya kiwemo kuimarisha thamani ya mazao ya misitu,kuendeleza uhifadhi wa misitu ya asili,uwepo wa mfumo madhubuti wa huduma za ugani,mawasiliano na ufutiliaji washughuli za misitu.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema ametoa wito kwa wafadhili wa mradi kuwashirikisha wananchi wa maeneo husika kwa kuwahamasisha na kuwaelisha kuelewa umuhimu wa miradi wanayopata na kuona miradi hiyo wanawajibu wa kuitunza na kuiendeleza na kuepusha migogoro isiyokuwa ya lazima katika jamii.

“Tumekuwa wa hifadhi wa asili kwa kutunza kumbukumbu na ujuzi wa asili kunaumuhimu wauendelezaji wa mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu ambayo yanatupeleka kwenye uchumi wakati wa viwanda kwa kutengeza bidhaa badala ya kuuza malighafi, na uimarishaji uchum wa kipato,”alisema Mgema.

Aidha mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya songea mhe Rajabu Mtiula ametoa rai kwa madiwani wote ambao wanahusika na mradi huo kutoa ushirikiano pale watakapo takiwa kufanya hivyo ilikutokwamisha maendeleo ya mradi katika jamii.

Mradi wa kuendeleza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu unatekelezwa katika mikoa ya Ruvuma,Dodoma,Tanga,na Lindi kwakipindi cha miaka mine na unafadhiliwa na Serikali ya Tanzania kwakushirikiana na serikali ya Finland.

JACQUELEN CLAVERY

AFISA HABARI - SONGEA DC

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa