• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VILIO NA SIMANZI KUTOKEA KWA KIFO CHA MHE. AJIRA KALINGA DIWANI KATA YA MFARANYAKI.

Tarehe ya kuwekwa: May 9th, 2023

Manispaa ya Songea imejaa Simanzi na Masikitiko makubwa baada ya kutokea kifo cha Mhe. Ajira Rajbu Kalinga aliyekuwa Diwani wa kata ya Mfaranyaki ambaye amefariki Dunia tarehe  06 Mei 2023 katika Hosptali ya  BOCHI  Jijini Dar es salaam  alipokuwa akipatiwa matibabu na kuzikwa tarehe 08 Mei 2023 katika Makaburi ya Mfaranyaki Manispaa ya Songea.

Marehemu Mhe. Ajira Kalinga   aliwahi kutumikia nafasi ya Udiwani  wa Viti Maalmu katika kipindi cha mwaka  2018-2020 pia kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 Marehemu alifanikiwa kugombea nafasi ya Udiwani ambao alishinda  katika kata ya Mfaranyaki.

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano alisema “ Enzi za Uhai wake Mhe. Ajira Kalinga alikuwa Mpiganaji na mpambanaji katika kuwahudumia wananchi wake katika kuleta maendeleo katika kata yake hivyo hamna budi kuyatekeleza mema yote ambayo Marehemu Ajira alianza kuyatekeleza.” alisisitiza.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Songea  Wilman Kapenjama Ndile alisema “  Marehemu Ajira Kalinga alimfahamu kwa utendaji wake wa kazi uliotukuka ambapo mara ya kwanza alimfahamu akiwa ana siku mbili tangu aanze kazi na mara baada ya kumtembelea ofisini kwake ambapo aliweza kumshirikisha changamoto mbalimbali zinazohusu miundombinu ya shule za msingi na Sekondari katika kata ya Mfaranyaki.”

Ndile amewataka wananchi na Viongozi wote kuendelea kuyaenzi mema na mazuri yote ambayo Marehemu Ajira Kalinga alikuwa ameanza kuyatekeleza pamoja na kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aweze kumpa pumziko la milele. Amina.

Kwa upande wake Mhe. Dkt. Damasi Ndumbaro (MB) Waziri wa Katiba na Sheria alitoa salamu za pole kwa familia, wananchi wa Manispaa na CCM,  kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutokea kifo cha aliyekuwa Diwani wa kata ya Mfaranyaki Mhe. Ajira Kalinga.

Dkt. Ndumbaro alisema Kwa masikitiko na huzuni kubwa Chama kimepoteza Kiongozi mahiri, Mpiganaji, Mtetezi wa wananchi, hivyo hatuna budi kumuombea apumzike amani.” Alihuzunika”

Alisisitiza wakati tunaombeleza tutafakari mema mazuri ambayo marehemu aliyaanza kuyatekeleza na baadhi yake yataanza kutelezwa   hivi karibuni ikiwemo na barabara kiwango cha Lami.

Naye kwa upande wake Komredi Oddo Mwisho Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi amewataka Wenyeviti wa Mitaa, Watendaji wa kata kuhakikisha wanasimamia na kuendeleza shughuli zote zilizokuwa zikitekelezwa na Marehemu Mhe. Ajira Kalinga.

Innalillahi wanailillahi Raijun.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa