• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VISHIKWAMBI 50 VYATOLEWA KWA MADIWANI NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO KUBORESHA UTENDAJI KAZI.

Tarehe ya kuwekwa: May 18th, 2023

Halmashauri ya Manispaa ya Songea  kupitia Baraza lake Tukufu la Madiwani kwa mwaka wa fedha 2022/2023 liliidhinisha  Bajeti  pamoja na kuadhimia  kabla ya mwisho wa mwaka wa fedha  kununa VISHIKWAMBI kwa ajili ya  matumizi ya Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo  katika uendeshaji wa shughuli za vikao vya Menejimenti, Vikao vya Halmashauri pamoja na vikao vya Baraza la Madiwani ili kupunguza matumizi ya karatasi.

HATUA hiyo imetekelezwa kwa asilimia 100% ambapo Halmshauri imeweza kununa na kugawa Vishikwambi 50 vyenye thamani ya zaidi ya Mil. 20  kwa lengo la kupunguza  gharama za uendeshaji wa Rasilimali za Umma.

Zoezi hilo limefanyika jana tarehe 17 Mei 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea lililoendana na utaoaji wa Mafunzo elekezi ya matumizi sahihi ya mfumo wa TEHAMA na utunzaji wa nyaraka za Serikali yalihudhuriwa na Madiwani, Viongozi ngazi ya Wilaya na Wakuu wa Idara.

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano alisema “ Vishikwambi  vitasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa Taasis,  uhakika wa upatikanaji wa taarifa, pamoja na urahisishaji wa utendaji wa kazikwa  haraka. Alipongeza.

Mhe. Mbano amewataka  Waheshimiwa Madiwani kuzingatia kanuni na taratibu za utunzaji wa siri wa nyaraka za Serikali pamoja na kifaa chenyewe ili mara baada ya kukoma madaraka ya uongozi kila aliyepewa kishikwambi atatakiwa kukikabidhi mikononi mwa Serikali. “ Mbano amesisitiza. “

Kwa upande Mkurugenzi Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko alisema “ Katika kutekeleza agizo hilo Manispaa ya Songea imenunua Vishikwambi 50 na kuvikabidhi kwa Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo kwa lengo la kuboresha utendaji kazi na kuachana na matumizi ya karatasi na kwenda Digital ( Serikali Mtandao). DKT. Sagamiko  “Alishukuru”.

Kwa upande wake Afisa TEHAMA Manispaa ya Songea Mvano Mbalae alisema Mafanikio ya Tehama  yatasaidia Kuongeza mapato ya serikali, kupunguza gharama vikao kupitia mikutano ya kimtandao, nakupunguza gharama za uendeshaji wa vikao kwa kutumia  vifaa vya tehama vinavyotumia  nyaraka laini  badala ya  nyaraka ngum Ili kulinda na miundombinu ya nyaraka za Tehama Serikali imeandaa Sera na Miongozo ya Usimamizi ambayo ipo kisheria ukiukwaji wa Miongozo hiyo ni Uvunjivu wa Sheria. 

Mvano alisema Miongoni wa Sera hizo ni pamoja na Sera ya Tehama (ICT policy), Sera ya kwa Mtumiaji wa Tehama(ICT use Acceptable Policy) Sera ya Ulinzi (ICT security Policy) na Mwongozo wa Matumizi Bora  Sahihi na Salama Mifumo na Miundombinu ya Tehama. Alibainisha.


Wakizungumza kwa nyakati tofauti waheshimiwa Madiwani hao ambapo walianza kwa kuipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha kanuni na sheria na miongozo ya Matumizi sahihi ya TEHAMA ambayo inazitaka Taasis kutumia Vishikwambi na kuachana na Matumizi ya karatasi kwa lengo la kupunguza gharama za uendeshaji wa rasilimali za umma na upotevu wa nyaraka. “ Walishukuru. “

IMEANDALIWA NA;                                                                                           

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MWASILIANO SERIKALINI.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa