• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VITA YA KUGOMBANIA MAJI INAKUJA

Tarehe ya kuwekwa: November 1st, 2017

SHIRIKA la Afya Duniani(WHO) linabainisha kuwa kuna watu bilioni 1.3 ambao ni moja ya tano ya watu wote duniani wanakosa maji safi na salama ya kunywa.Mwenyekiti wa Baraza la Maji Duniani Loic Fauchon anakiri hivi sasa hali ya upatikanaji wa maji duniani ni mbaya na kwamba watu wengi wanaweza kuangamia kwa kukosa maji safi na salama kutokana na uchafuzi wa vyanzo vya maji unaoendelea duniani kote.
"Leo tunajadili suala la maji ambalo linawatia watu wasiwasi, na linaweza kusababisha migogoro na vita vya kugombania maji vya Dunia.Hivi sasa rasilimali ya maji ipo hatarini kutoweka,binadamu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji'',anasema Fauchon.Kwa mujibu wa WHO,Watu waliokufa mwaka 2014 kutokana na uchafuzi wa maji, ni mara 10 ya waliokufa kutokana na vita.

Nchi ya Somalia inakabiliwa na ukame wa kutisha ambapo watu milioni sita kati ya milioni kumi wapo katika vita ya kugombania maji na chakula baada ya vyanzo vingi vya maji kukauka na kusababisha njaa katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.Matumizi ya maji duniani yameongezeka mara sita zaidi kati ya mwaka1900 na 1995 zaidi ya mara mbili ya kiwango cha ongezeko la watu na huendelea kukua kadri kilimo viwanda na matumizi ya nyumbani yanavyoongezeka. Kilimo hutumia takribani asilimia 70 ya matumizi yote ya
maji duniani.

Ripoti ya Water Aid ina inazitaja nchi ambazo zina hali mbaya zaidi katika huduma ya maji kuwa ni Papua New Guine, Msumbiji , Madagascar na Angola ambayo inangoza ikiwa na asilimia 71 ya wananchi wake wa vijijini wakikosa maji safi na salama.

 Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa