• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VITENDEA KAZI VYATOLEWA KWA MAAFISA UGANI SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: September 15th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile amewataka Maafisa Ugani wa kilimo Wilaya ya Songea wahakikishe wanatekeleza wajibu wao katika kusimamia wakulima na kutoa elimu kwa  wananchi  juu ya kilimo bora.

Hayo yamejiri wakati wa ugawaji wa vitendea kazi kwa wataalamu wa Ugani wa kilimo  Wilaya ya Songea iliyofanyika tarehe 15 Septemba 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kuboresha utendaji kazi katika sekta ya Kilimo.

Ndile alisema “ni wajibu wa kila afisa kilimo kuhakikisha anasimamia shughuli za kilimo na kutoa ushauri kwa wakulima namna ya kulima kilimo chenye tija pamoja na kutambua aina ya udongo katika shamba lake, aina ya mazao yanayostahili kulimwa katika shamba lake, kupanda  kwa wakati, kupalilia kwa wakati, pamoja na kuweka mbolea kwa wakati.”

Aliongeza kuwa, kilimo bora sio kulima eneo kubwa bali ni kuzingatia  taratibu za kilimo pamoja na kutumia mbegu bora na ufuatiliaji na usimamizi bora wa kilimo.

Miongoni mwa vifaa vilivyotolewa kwa wataalamu hao ni pamoja na, Kwa Manispaa ya Songea wamepkea Ganboot pair 28, Rain Coat 28, Pump Sprayer 28, Madaba wamepokea Soil Scanner 1, Printer 1, Desktop 1, Ganboot pair 17, Rain Coat 17, Pump Sprayer 17, Kishikwambi 1, pamoja na Lamination Machine 1, Kwa Halmashauri ya Wilaya wamepokea,  Soil Scanner 1, Printer 1, Desktop 1, Ganboot pair 39, Rain Coat 39, Pump Sprayer 39, Kishikwambi 1 Lamination machine 1.

Akizungumza Afisa kilimo Manispaa ya Songea Zawadi Nguaro alitoa shukrani kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kuwawezesha vitendea kazi wataalamu wa idara ya kilimo ambapo wameahidi kufanya kazi kwa bidiii ili kufikia lengo la Serikali.

IMEANDALIWA NA;                       

AMINA PILLY;

KIENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa