• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKUU wa Idara Songea wapata mafunzo ya ukusanyaji wa mapato

Tarehe ya kuwekwa: August 26th, 2019

WAKUU wa Idara na Vitengo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wamepata mafunzo ya uandaaji wa taarifa kwa kutumia mfumo wa ukusanyaji mapato yaliyofanyika kwa siku mbili kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa chini ya wakufunzi wake wametoa mafunzo ya uandaaji wa taarifa za CDR na CFR & LGRCIS ambao ni mfumo wa ukusanyaji mapato lengo likiwa ni  kuhakikisha kila idara inajitengenezea bajeti na kufanya malipo mbalimbali.

Mkaguzi wa Ndani kutoka Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Adelin Komba amewasisitiza wakuu wa Idara na vitengo kuwa makini katika utumiaji wa mfumo huo ili kuweza kupata taarifa za bajeti  zilizo sahihi na uhakika zaidi.

Kwa upande wake, Afisa TEHAMA wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mvano Mbalale ameeleza udhaifu wa mfumo huo na kuiomba serikali kuboresha baadhi ya programu ili kurahisisha utendaji wa kazi.

Naye, Afisa Biashara Manispaa ya Songea Furaha Joseph Mwangakala amesema kuwa mfumo una taarifa zisizo sahihi kutokana matumizi mabovu yaliyosababishwa na uelewa mdogo, pia ameomba watendaji wa TEHAMA  wapunguziwe majukumu ikiwemo ulipaji wa leseni upitie moja kwa moja kwa Afisa Biashara ili kuepusha mwingiliano wa taarifa.

“Mfumo bado unahitaji marekebisho ili kuondoa taarifa chafu.” Amesema Mwakangala.

Mfumo wa ukusanyaji mapato ni miongoni mwa njia kuu ya kukuza uchumi wa Nchi ambapo  mapato yanayokusanywa husaidia kuboresha shughuli mbalimabli za maendeleo na kuboresha mapato.

Imeandaliwa na 

Bacilius Kumburu

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Agosti 26, 2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa