• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKUU WA SHULE SIMAMIENI WAZABUNI, WAHAKIKISHE WANAPELEKA CHAKULA CHENYE VIRUTUBISHO SHULENI.

Tarehe ya kuwekwa: February 23rd, 2023

Mkurugenzi Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko amewataka wakuu wa shule  kusimamia Wazabuni waliopewa kazi ya  kupeleka chakula shuleni wahakikishe wanapeleka chakula  kilichoongezewa  viini lishe ili kuwajengea lishe bora wanafunzi.

Alisema Manispaa ya Songea inaendelea kusimamia na kutekeleza mkakati waliojiwekea wa  kuondoa utapiamlo kwa kusimamia Mpango endelevu wa uhamasishaji na uelimishaji kwa jamii ili kujenga mwamko wa kuchangia chakula cha Wanafunzi shuleni pamoja na kuweka katazo  kwa Wazabuni kupeleka chakula kisichooongezewa virutubisho.

 Dkt. Sagamiko ametamka kauli hiyo  akiwa katika kikao cha kamati ya Lishe kilichofanyika tarehe 22 Februari 2023 katika  ukumbi wa Manispaa ya Songea kilichohudhuriwa na wadau mbalimbali wa Lishe kwa lengo la kupitia taarifa ya  utekelezaji wa shughuli za Lishe za Halmashauri na kufanya ufuatiliaji wa maazimio yahusuyo shughuli za lishe.

Kwa upande wake Afisa Lishe Manispaa ya Songea Albert Sinkamba alisema katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2022, katika kupambana na udumavu na Utapiamlo, kitengo cha kilifanya  uchunguzi wa hali ya Lishe kwa kutumia mzingo wa mkoo  kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano  pamoja na kupima uzito  kulingana na umri wa mtoto ambapo jumla ya watoto 49,448 walichunguzwa hali ya lishe kati ya 37,818 sawa na asilimia 153.4%.

Sinkamba alisema kati yao 15 waligundulika kuwa na utapiamlo mkali sawa na asilimia 0.2 hata hivyo  watoto 692 sawa na asilimia 1.3% walichunguzwa na waligundulika kuwa na utapiamlo wa kadiri, pia watoto 48,741 waliochunguzwa sawa na asilimia 98.5% hawakuwa na utapiamlo.

Alibainisha kuwa miongoni mwa mikakati iliyowekwa katika kutekeleza afua za lishe ni pamoja na kuanzisha kituo cha kukusanyia maziwa ya ng’ombe, kuendelea kutoa elimu ya uandaaji wa chakula cha lishe, pamoja na uanzishaji wa klabu za lishe shuleni.

IMEANDALIWA NA;

AMINA  PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

  



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa