• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU WAPATA MAFUNZO YA KUPAMBANA NA COVID-19 MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: June 23rd, 2020

Mkurugenzi Manispaa ya Songea Tina Sekambo akiwakilishwa na Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Songea bi Zakia Fandey, amewaasa  walimu wote Manispaa ya Songea kufuata maelekezo yote yaliyotolewa na Serikali katika kupambana dhidi ya ugonjwa hatari wa CORONA katika maeneo ya kazi ili kudhibiti Maabukizi mapya ya Virus vya ugonjwa huo kwa Wanafunzi /Walimu wakiwa shuleni.

Bi Zakia ametamka hayo  katika mafunzo ya kupambana dhidi ya ugonjwa hatari wa  COVID-19,  yaliyoshirikisha  Maafisa  Elimu Kata,  Wakuu wa shule sekondari, pamoja na Walimu wa kuu shule za Msingi yaliyofanyika kwa nyakati tofauti katika Ukumbi wa Manispaa ya Songea tarehe 22/06/2020.

Aidha, aliongeza kuwa” Katika kuendeleza jitihada za kudhibiti maambukizi mapya ya virusi vya Corona (COVID-19) Manispaa ya Songea  imeandaa mkakati  ambayo inalenga  kuweka mazingira wezeshi ya udhibiti wa maambukizi ya COVID-19  katika Shule za Sekondari na Shule za Msingi. Pia alisema   mambo yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa ikiwa  ni pamoja na  kutakasa  (Decontamination) mazingira yote ya shule, kutoa elimu kwa wanafunzi/ na walimu wote kuhusu ugonjwa wa COVID-19 pamoja na dalili zake na hatua za kuchukua ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo, Kuhakikisha uwepo wa vifaa vya kunawia mikono (sabuni na maji tiririka) kwa ajili ya usafi wa mikono katika kila eneo au maeneo ya madarasa, ofisi, kila geti/lango kuu, mabweni, maktaba, bwalo la chakula, vyoo na maeneo mengine muhimu, Pamoja na uwepo wa  vifaa vya kunawa mikono vizingatie mahitaji ya eneo husika. Alisisitiza.”

Naye Afisa afya Manispaa ya Songea  Maxensius Mahundi  alisema Lengo la kutoa mafunzo haya ni kuwajengea uwezo katika kupambana na COVD-19 ambayo yatawasaidia kufahamu namna maambukizi yanavyoweza kutokea, dalili na jinsi ya kuchukua tahadhari.

Mahundi alisema Elimu iendelee kutolewa mara kwa mara kwa kupitia vikao vya  kamati za Shule, Wananchi/Wazazi ili waweze  kuhamasisha wanafunzi  kuvaa barakoa wakati wanapokwenda au warudipo shuleni. Aliongeza kuwa   wazazi/walezi wahimizwe kuwapatia watoto wao barakoa za vitambaa kabla ya kwenda shuleni.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY 

KAIMU AFISA HABARI –MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa