• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATENDAJI Songea wasainishwa Mkataba wa Lishe

Tarehe ya kuwekwa: August 22nd, 2019

WATENDAJI wa kata na Mitaa wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wamesainishwa mkataba wa afua za lishe Mkoani Ruvuma

Afisa Lishe wa Manispaa ya Songea Anna Nombo akizungumza katika mkutano huo na watendaji wa kata amewataka kuwajibika katika kutekeleza malengo yote yaliyoko katika mkataba huo ili kuweza  kupunguza utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano, wanawake wajawazito na akina mama wanaonyonyesha kwa kuwa  hali ya utapiamlo katika Mkoa ni kubwa zaidi.

Nombo, amesema kuwa utafiti wa afaya na Demogarfia ya mwaka 2015 na 2016 unaonesha kuwa udumavu umefikia asilimia  44 ambao unasabababishwa na mambo mbalimbali kama vile ulishaji duni,maradhi ya mara kwa mara na huduma hafifu za malezi na makuzi ya awali kwa watoto wadogo.

“Hivyo ili kufanikisha haya yote kunahitajika usimamizi wa hali ya juu kujenga taifa bora,Ni vyema tukashirikiana ili kutetea na kulinda maisha ya ndugu zetu.” Amesema Nombo.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Maafisa Watendaji wa Kata na Mitaa ya Manispaa ya Songea ambaye ni Mtendaji wa Kata ya Ndilimalitembo  Bakari Kawina amewasisitiza watendaji wote kushirkiana kwa pamoja ili kufanikisha dhamira kuu iliyoko ndani ya mkataba huo na amewahasa kwa yeyote atakayekiuka atachukuliwa hatua za kisheria..

Pia amewaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa viongozi kwa kuwa yote yaliyoainishwa katika mkataba yanawalenga wao na taifa kwa ujumla.

Mkataba huu utakuwa wa muda wa miaka mitatu na utaanza tarehe 01 julai, 2019 hadi tarehe 30 juni, 2021 ambapo Mkataba huu utapimwa kila baada ya miezi 6 ya utekelezaji.

Imeandaliwa na 

Bacilius Kumburu

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

22 August, 2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa