• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATU 100 wagundulika na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Songea

Tarehe ya kuwekwa: September 27th, 2019

MGANGA  Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Dkt.Mameritha Basike  amesema wateja 100 wapya wamegundulika kuwa na maambukiz mapya ya virusi vya UKIMWI mjini Songea.Akizungumza ofisini kwake Dkt Basike amesema idadi hiyo imebainika katika kipindi cha Januari hadi Agosti 2019 jumla ya watu 2527 walipima afya zao, kati yao wateja 100 waligundulika kuwa na VVU sawa na asilimia 3.95.

Ameitaja zahanati ya Bombambili ni moja ya zahanti zinazotoa huduma za mapambano dhidi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI, Huduma hizi zilianza mwaka 2004. ambapo Huduma ya kutokomeza maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto, inatolewa kwa akina baba, mama wajawazito, wanaonyonyesha na kwa watoto. 

Amesema Kwa kipindi cha Januari hadi Agosti 2019 jumla ya kina mama wajawazito na anaonyonyesha 493 walipima VVU, kati yao 18 waligundulika kuwa na VVU sawa na asilimia 3.64. Hadi sasa kituo kina idadi ya kinamama wajawazito na wanaonyonyesha 80 wanaotumia dawa za kufubaza VVU.

Aidha watoto 45 waliozaliwa na kina mama wenye VVU kwa kipindi cha Januari hadi Agosti 2019, walichukuliwa sampuli za damu na kufanyiwa uchunguzi, kati yao watoto 2 waligundulika kuwa na maambukizi ya VVU sawa na asilimia 4.49.

Amesema kutokana na kuboresha mazingira kuwa mazuri ya utoaji wa huduma, imepelekea ongezeko la wateja waliosajiriwa na kuanza dawa kutoka wateja 179 kwa kipindi cha Januari – Disemba 2018 hadi kufikia wateja 188 kwa kipindi cha Januari hadi Agosti 2019. na kwamba kwa kipindi cha Julai 2018hadi Juni 2019, zahanati imepokea dawa za kufubaza makali yavirusi vya UKIMWI zenye thamani ya Tshs. 11,289,851.49 kutoka Bohari ya Dawa Iringa.

Imeandikwa na Farida Musa 

wa Kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Septemba 26,2019



 


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa