• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATU 2780 wagundulika na virusi vya UKIMWI Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: June 18th, 2018

HALI ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma bado inatishia ustawi wa jamii ya kuongezeka maambukizi ya ugonjwa huo Takwimu zinaonesha kuwa  kiwango cha Maambukizi katika kipindi cha mwaka 2017 ni  3.1  ambapo watu waliopima walikuwa  88,255 kati yao wanawake 48,185 na wanaume 40,070.

Kulingana na takwimu hizo kati ya waliopima, Waliogundulika kuwa na Virusi vya UKIMWI walikuwa 2,780 kati yao wanawake walikuwa 1,729 na Wanaume 1,051. Halmashauri ya Manispaa ya Songea  ina vituo 26 vinavyotoa huduma za CTC ambavyo vimesajiliwa na jumla ya wagonjwa 25,619 kati yao 12,349 wameanzishiwa dawa za  ARV’s.

Hata hivyo katika kukabiliana na maambukizi mapya,Halmashauri ya Manispaa ya Songea inaendelea kutoa mafunzo ya UKIMWI mahali pa kazi, kutoa mafunzo kwa jamii kupitia klabu za vijana na kutumia vikundi vya waathirika na kutoa ushuhuda katika mikutano ya jamii.

Wananchi wote  waliopo kwenye dawa za kufubaza virusi vya ukimwi,wanahimizwa  kujua wingi wa virusi kwenye damu zao na kutoa elimu kupitia sinema pamoja na vituo vya kutolea huduma za afya kuhusu kujikinga dhidi ya maambukizi ya UKIMWI. 

Uchunguzi umebaini kuwa Mwitikio wa Jamii katika suala zima la kudhibiti  UKIMWI ni mkubwa. Hii inatokana na Takwimu zilizopo katika Manispaa ya Songea.Takwimu zinaonesha kuwa watu 10,097 katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea  wanaugua UKIMWI na wapo kwenye dawa hadi sasa ambapo Zaidi ya watu 23,000 katika Manispaa hiyo wanaishi na virusi vya UKIMWI.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 18,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa