• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI waomba kituo cha Afya Mjimwema kuongezewa vifaa na majengo

Tarehe ya kuwekwa: August 10th, 2019

WAFANYAKAZI wa Kituo cha Afya Kata ya Mjimwema  Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Mkoani Ruvuma wameiomba serikali kuongeza vifaa na majengo ya  wajawazito katika kliniki za watoto ili kukabiliana na idadi kubwa ya wagonjwa wanaofika kupata huduma ya afya kwenye kituo hicho.

Muuguzi  wa Kitengo cha Wodi ya Wajawazito katika kituo hicho,Ansela Agnery amezitaja changamoto ambazo wanakumbana nazo  kuwa ni upungufu wa vitanda hali inayosababisha baadhi ya wagonjwa kulala wawili wawili katika kitanda kimoja.

 “Serikali naiomba iongeze jengo na vitanda kwa wajawazito ili kuepusha maambukizi yanayoambukizwa kwa njia ya hewa”.amesema Agnery.

Naye,Mtaalam wa  chanjo za watoto  katika Kituo hicho,Beatrice Ngwata amezitaja changamoto za vifaa katika kitengo chake kuwa ni pamoja na upungufu wa mabenchi ya kukaa wazazi wanao waleta watoto kupata chanjo.

Licha ya changamoto hizo,Ngwata amesema kitengo chake kimepata mafanikio makubwa ikiwemo  kupunguza hali ya kijivu kwa asilimia chini ya 50 na kuongeza hali ya kijani kwa asilimia 80.

 Maria Njelekela mgonjwa aliyefika katika kituo hicho cha Afya kupata huduma amewapongeza watumishi hao wa afya kutoa  nzuri ambapo ameiomba serika kuboresha kituo hicho kwa kuongeza majengo ili kutoa huduma bora zaidi.

Sophia Maganza Mkazi wa Mjimwema amewapongeza  wahudumu wa afya  katika kituo hicho kwa kuanza  kutoa elimu ya afya  kabla ya kutoa chanjo hali ambayo inawajengea uwezo wagonjwa wanaofika kupata huduma ya afya.   

Kituo cha Afya Mjimwema kilianzishwa Aprili 8,2002,Kituo hicho kina majengo nane yakiwemo Jengo la wagonjwa wa nje,Wodi ya Watoto na Wanawake,Wodi ya Wazazi na huduma za kujifungua, jengo la kutolea huduma za afya ya uzazi na mtoto na wodi ya Wanaume, jengo la Utawala, jengo la kuhifadhia maiti, nyumba mbili za watumishi na jengo la upasuaji.

 Imeadaliwa na

Severine Fussi

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Agosti 9,2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Apongeza kwa Utekelezaji wa Miradi

    May 05, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Awataka Waajiri kuzingatia Misingi ya Utawala Bora

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Songea Akizindua Stendi ya Bajaji - Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa