• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI wa mifugo aagiza soko la mnada la Upili kukabidhiwa Halmashauri ya Madaba

Tarehe ya kuwekwa: January 8th, 2020

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina ameagiza soko la mnada wa Upili eneo la Mtyangimbole Halmashauri ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma likabidhiwe Halmashuri ya Madaba.

Waziri Mpina ametoa agizo hilo baada ya kutembelea na kukagua mnada huo katika ziara ya kikazi wilayani Songea.

Mpina ameziagiza Halmashauri za songea na madaba kukabidhiana soko hilo haraka ili serikali iweze kuendelea na taratibu za ukarabati wa soko hilo ILI liweze kuingiza mapato ya serikali.

“Naagiza makabidhiano yafanyike haraka ili Halmashauri inayo husika na uendeshaji wa soko hilo ifanye utekelezaji wake  na maduhuli ya serikali yakusanywe kulingana na sheria za Nchi’’,amesisitiza Mpina.

Aidha ametaka ukarabati ufanyike mara moja na kuajiri mlinzi wa muda atakayehusika na kulinda usalama wa eneo hilo na kuhakikisha mnada unafanyika ndani na siyo nje ya jengo kama ilivyo sasa hivi sasa ambapo mnada huo umekuwa uikiingizia kiasi cha wastani wa shilingi milioni 18  kwa mwaka.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema amesema soko la mnada la Mtyangimbole lilikuwa likimilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Songea kabla ya Halmashauri hizo kugawanywa mwaka 2014 na uendeshaji wake kufanywa na Halmashauri ya wilaya ya Songea huku maduhuli yakikusanywa na Halmashuri  ya Madaba.

Wadau wameishukuru serikali kwa maamuzi hayo na ukarabati ambao utaboresha mazingira ya kutolea huduma na kuimarisha biashara kwa sababu mazingira bora na mazuri humvutia mteja kuja kupata huduma bora.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa