• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIJIRI WAKATI WA ZIARA YA MWENYEKITI UWT TAIFA MANISPAA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: July 29th, 2023

Mwenyekiti UWT Taifa  Mary Chatanda amewataka wananchi kulinda maadili na utamaduni  kwa watoto na jamii kwa ujumla na  kuepuka matendo yasiyofaa ambayo yanaathiri jamii na kizazi kijacho.

Alisema “kuna tabia ambayo hujitokeza kwa baadhi ya wanawake ambao huvaa gauni kwenye sherehe lilnalotambulika kama kijora kisha kujimwagia maji mwilini na kucheza bila stara (VIGODORO) kitendo ambacho kinavunja maadili ya kitanzania.”


Ametoa wito kwa Serikali za Mitaa, Vijiji na vitongoji, Jeshi la Polis, pamoja na uongozi ngazi ya Wilaya kuhakikisha wanadhibiti matukio yoyote yenye viashiria vya uvunjifu wa maadili na tamaduni zetu wanatakiwa kukamatwa mara moja ili kudhibiti matukio hayo.”alisisitiza”

Matukio ya Ubakaji, Ushoga, ukatili wa kijinsia, uvutaji wa madawa ya kulevya, ukeketaji pamoja na manyanyaso ya kijinsia hayakubaliki katika ardhi ya Tanzania na endapo itajitokeza matukio kama hayo yachukuliwe hatua za kisheria mara moja.

Hayo yamejiri wakati wa ziara ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Mary Chatanda iliyofanyika kwa siku moja tarehe 29 Julai 2023 ambapo alifanikiwa kutembelea mradi wa ujenzi wa Hosptali ya Wilaya ya Songea, Kuweka jiwe la Msingi katika nyumba ya Katibu wa CCM Wilaya, kutembelea uwanja wa ndege, pamoja na kuongea na wananchi katika viwanja vya Lizaboni kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Bi Chatanda  aliongeza kuwa lengo la Ziara hiyo ni kuhamasisha wanachama kujiunga na CCM, kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kutoa taarifa kwa jamii juu ya utekelezaji wa shuhuli za miradi.

Akitoa pongezi  mradi wa ujenzi wa Hosptali ya Manispaa ya Songea alisema “ Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani ameendelea kusimiamia Ilani ya Chama cha Mapinduzi ambapo katika Idara ya Afya  kwa Manispaa ya Songea ameweza kutoa fedha zaidi ya Bil. 4 ambazo zimejenga vituo vya afya 4 na  hosptali  ya Wilaya ambayo  ipo hatua ya ukamilishaji. “alipongeza”

Kwa upande wake Dkt. Damas Ndumbaro (MB)  Waziri wa Katiba na Sheria alisema kabla ya uongozi wake Manispaa ya Songea ilikuwa na kituo cha afya 1 lakini hadi hivi sasa Manispaaa ya Songea ina vituo vya afya vinne na Hospital 1 moja  ambayo inaendelea kujengwa na itaanza kutoa huduma za awali OPD ifikapo tarehe 01 Agost 2023.

Dkt. Ndumbaro alisema, anaishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo hususani katika sekta ya Barabara, Elimu, Afya, Maji pamoja na Ruzuku ya Mbolea kwa Wakulima.

Imeandaliwa na;

Amina Pilly;

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.                                                                                         




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA October 17, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Oktoba 2025 October 18, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Songea MC, 57% hadi 72% Ongezeko la Watoto Wanaopata Chakula Shuleni

    November 18, 2025
  • RRAS RUVUMA APONGEZA UBORA WA MIRADI SONGEA MC

    November 12, 2025
  • Dkt. Ndumbaro Aibuka Mshindi Ubunge Jimbo la Songea Mjini

    October 30, 2025
  • Rc Ruvuma Akabidhi Magari 4 Yenye Thamani ya Bil. 2.2 Kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Ruvuma

    October 26, 2025
  • Tazama zote

Video

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA WAZIRI MKUU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Judi Online
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200