• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: November 4th, 2022

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael amewataka Waheshimiwa Madiwani  na wataalamu  kushirikiana  katika kutekeleza na kusimamia  shughuli mbalimbali za maendeleo ili kuleta mafanikio.

Hayo yamejili katika mkutano wa baraza la kwanza la  Madiwani lililofanyika  tarehe 03 Novemba 2022 kwa lengo la kupokea taarifa ya utekelezaji wa miradi wa miradi yamaendeleo katika kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka 2022, pamoja na taarifa ya mapato na matumizi ya kipindi cha julai hadi septemba 2022.

Baraza hilo lilianza kwa kupokea maswali ya papo kwa papo yaliyoulizwa na waheshimiwa madiwani katika mkutano  na kutolewa ufafanuzi na Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea kuhusu changamoto mbalimbali za miundombinu ya shule, ujenzi wa Soko la Manzese na utoaji wa vibali vya sherehe kwenye jamii.

Mhe. Mbano alisema Manispaa ya Songea inatoa shukrani kwa Serikali ya wamu ya sita kwa kutoa fedha Bil. 1.52 kwa ajili ya  ujenzi wa vyumba vya madarasa 76 ambayo  ya meanza  kujengwa na yatakabidhiwa ngazi ya Wilaya tarehe 30 Novemba 2022, Hivyo ametoa rai kwa wataalamu na Waheshimiwa Madiwani kuongeza jitihada katika kusimamia ujenzi wa madarasa ili  kufikia  lengo ya Serikali yaliyokusudiwa.

Akitoa ufafanuzi Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko ambapo alisema “ Manispaa ya Songea  kuanzia mwezi  novemba 2022 itatangaza nafasi za  kazi  kwa ajili ya kumpata mkandarasi ambaye atafanya kazi ya kujenga miradi mbalimbali ikiwemo  na ujenzi wa miundombinu ya barabara na ya soko pamoja na ujenzi wa viwanda katika eneo la Lilambo.”

 Dkt. Sagamiko aliongeza Elimu ya utoaji wa vibali vya sherehe imetolewa kwa wananchi kupitia maafisa watendaji wa kata ambapo agizo hilo linaendelea kutekelezwa kwa kulipia  kiasi cha shilingi elfu hamsini 50,000 kwa kila sherehe na kukatiwa risiti halali.

Alisema kuanzia julai hadi septemba  2022 Manispaa ya Songea ilipokea na kukusanya  kiasi cha shilingi Bil 12,197,783,320.46 ikiwa ni mapato ya ndani pamoja na ruzuku kutoka Serikali kuu.

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa