• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJILI WAKATI WA BARAZA LA HABARI TANZANIA (MCT)

Tarehe ya kuwekwa: June 13th, 2022

Na,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

13 JUNI 2022

Baraza la habari Tanzania (Media Council of Tanzania - MCT)  kwa kushirikiana na Jumuiya ya Mawakili Afrika Mashariki ( East Africa Law Society - EALS) wametoa mafunzo kwa waandishi wa habari na Maafisa Habari, mawasiliano na Uhusiano  Serikalini kwa lengo la kujadili kuhusu sheria ya haki ya kupata  taarifa ya mwaka 2016 yaliyotolewa tarehe 11 Juni 2022 jijini Mbeya.

 Akizungumza katika mafunzo hayo Mtendaji Mkuu wa Jumuiya ya mawakili Afrika Mashariki, Wakili David Sigano alisema kuwa mafunzo hayo yamelenga kutoa elimu juu ya uhuru wa kujieleza kwa waandishi wa habari, dhana ya vyombo vya habari kwa jamii pamoja na uhuru wa vyombo vya habari kwa kuzingatia sheria na kanuni za uandishi kulingana na Sera ya habari nchini Tanzania.

Amewataka waandishi wa habari kufanya kazi kwa uadilifu  na kushiriki katika  kufanya mazoezi bora ya kimataifa katika kushikilia uhuru wa kujieleza pamoja na namna bora ya uandishi wa habari za kiuchunguzi, habari za  utamaduni wa kimataifa pamoja na mabadiliko ya sheria mbalimbali za uandishi wa habari.


Wakili Sigano aliongeza kuwa uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu katika kulinda haki za binadamu kwa kutoa haki ya kupokea taarifa pamoja na haki ya kutoa taarifa kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari.

Naye Paul Malimbo (Media Monitaring and Press freedom Violation Tanzania) amewataka waandishi wa habari kuunga mkono shughuli mbalimbali za maendeleo zinazofanywa na Serikali katika jamii ikiwemo na kuandika habari zinazohusiana na zoezi la Sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika Agosti 23 mwaka huu ili kusaidia wananchi kuwa na uelewa na kushiriki katika zoezi hilo kikamilifu.

Mwisho. 




Matangazo

  • MATANGAZO mbalimbali ya Manispaa ya Songea kwa njia ya Redio January 31, 2020
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2020 January 25, 2020
  • MATANGAZO muhimu kwa wakazi wa Manispaa ya Songea January 31, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka wananchi kutunza Mazingira.

    January 25, 2023
  • DC SONGEA "shule kwa shule kukagua Wanafunzi walioripoti wa Kidato cha kwanza"

    January 19, 2023
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

    January 19, 2023
  • WAZIRI wa Kilimo na Umwagiliaji Hussein Bashe amewataka Maafisa kilimo kutumia Pikipiki Walizopewa kwa kuwatembelea Wakulima Mashambani.

    January 17, 2023
  • Tazama zote

Video

NIACHE NISOME
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa