• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI KUMBUKIZI YA MWL. NYERERE NA USHIRIKI WA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA

Tarehe ya kuwekwa: October 14th, 2024

Tarehe 14 Oktoba 2024 ni siku ya maadhimisho ya Hayati Mwl. Julius Kambambarage  Nyerere ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe hiyo ambapo kwa Manispaa ya Songea maadhimisho hayo yamefanyika kwa kufanya mazoezi ya viungo na michezo mbalimbali.

Katibu Tawala Mtella Mwampamba amesema “ Tumuenzi Mwalimu Julius Nyerere kwa matendo mema aliyokuwa ameyafanya ambayo yamepeleakea leo Watanzania kuwa huru na kuendelea kushikamana katikakulijenga Taifa letu.”

Alisema Mchakato wa uchaguzi upo ngazi ya msingi ambao tunaendelea na mchakato wa kujiandikisha kwenye orodha ya Wapiga kura ambapo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi katika kwenda kujiandikisha ili kupata haki ya kuchagua na kuchaguliwa ambapo zoezi hilo limeanza tarrehe 11 hadi 20 Oktoba 2024.

Kwa upande wake Msimamizi wa uchaguzi  Wakili Bashir Muhoja amemtaka afisa michezo kuratibu zoezi la michezo kwa watumishi wa Manispaa ili kuweza kuimarisha afya za watumishi.

Alisema Zoezi hili limefanyika kwa lengo la kuhamashisha wananchi kwenda kujiandikisha ambapo  limeanza tarehe 11 hadi 20 Oktoba 2024 huku akibainisha tayari watu 36,000 wamejiandikisha kati ya wanachi 170,000 ambao wanatakiwa kujiandikisha katika Manispaa ya Songea.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILAIANO SERIKALINI. 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa