• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI SIKU YA WAJANE DUNIANI

Tarehe ya kuwekwa: June 26th, 2023

Siku ya Wajane Duniani huadhimishwa kila  ifikapo tarehe 23 Juni kila mwaka baada ya Umoja wa Mataifa kupitisha siku hii kuwa ya kimataifa kupitia Azimio Na. A/RES/65/189 la tarehe 21 Desemba 2010 na ilianzishwa na kuasisiwa na  Lord Loomba mwaka 2005.

Kutokana na changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo wajane wanachama wa Umoja wa kimataifa waliazimia kuadhimisha siku hii kwa lengo la kuongeza uhamasishaji wa kupinga ukiukaji wa haki za binadamu kwa wajane.

Akizungumza Afisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Ruvuma Xsaveria A.Mlimira amewataka maafisa ustawi wa jamii na maafisa watendaji kata/mitaa kuendelea kuelimisha  jamii  juu ya ugawaji wa mirathi kuzingatia kanuni na sheria ili kuleta usawa na haki ikiwemo haki ya kuwalea watoto, haki ya kumiliki Ardhi pamoja na mali.

Hayo yamejili katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wajane Duniani ambayo yamefanyika  leo tarehe 23 Juni katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kuudhuriwa na viongozi wa Dini, Watalaamu pamoja na wananchi ambapo yakiwa na lengo la kuimarisha ushirikiano na kutatua changamoto katika jamii.

Kupitia sanse ya watu na makazi ya mwaka 2023 Tanzania ina jumla ya wajane 1,396,262 ambapo serikali imefanikiwa kutatua changamoto  mbalimbali ikiwemo kuanzishwa kwa kampeni ya “maadili yetu Taifa letu” kwa lengo la kuwatunza na kuwalinda wajane,  kuanzishwa  madawati ya jinsia na watoto 573 katika vituo vya Jeshi la Polisi na Magereza kwa lengo la kutokomeza ukatili wa kijinsia wakiwemo wajane  pamoja na kuundwa kwa Wizara mahsusi ya Maendeleo ya Jamii,jinsia,wanawake na makundi maalum.Alisem 

Kwa upande wake Afisa Dawati la jinsia na watoto Songea  Sajenti Paulina ametoa rai kwa wajane kutoa taarifa kwa wakati ili kupata msaada wa kisheria pale ambapo wanakutana na changamoto ikiwemo kunyanyashwa na kunyimwa haki ya umiliki wa mali.  

Wametoa shukrani za dhati kwa serikali ya awamu ya sita  kwa kuwatambua na kuwajali wajane kwa kuweka mifumo ya kulinda haki na kuongeza huduma za msaada wa kisheria  Na: 1ya mwaka 2017.Wananchi Walishukuru

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa