• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI RUVUMA

Tarehe ya kuwekwa: March 9th, 2023

Mkuu wa Mkoa Ruvuma Kanal. Laban Thomas amewataka viongozi,wazazi au walezi pamoja na wadau mbalimbali kupinga na kukemeea vitendo vya vinavyoashiria ukatili wa kijinsia  ikiwemo  na   ndoa  ya jinsia moja .

Amesema Wazazi wanapaswa kutoa malezi bora kwa watoto wao kwa kuwapatia elimu kimazingira  na madhara ya  kushiriki  ndoa  ya jinsia moja ili kulinda vizazi vya sasa na vijavyo.

Hayo yalitamkwa  katika  kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyofanyika  kimkoa katika Wilaya ya Nyasa kwa lengo la kuwakumbuka wanawake 15000 walioandamana kwa lengo la kudai haki na Ujira ambayo huongeza chachu kwa wanawake katika kudai haki na usawa katika jinsia.

,Kanal. Laban   ametoa rai kwa wananchi  kuendelea kujikinga dhidi ya  maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) kwa kujitokeza kupima afya  mara kwa mara  ili kujilinda na maradhi na jamii kwa ujumla.

Alilibainisha, kuwa   takwimu  za  maambukizi ya Virus vya Ukimwi  kitaifa  ni 4.7%,  katika  Mkoa wa Ruvuma  ni 5.6%,  ambapo halmashauri ya Madaba ni 10.4%, halmashauri ya Mbinga DC 4.8%, halmashauri ya Mbinga Mji ni 7.8%, halmashauri ya Namtumbo ni 4%, halmashauri ya Nyasa ni 5.4%, halmashauri ya Songea DC ni 6.2, halmashauri Manispaa ya Songea ni 10.5% na halmashauri ya tunduru ni 3.1%.

 Amezitaka kila halmashauri   kuhakikisha  zinatenga fedha zinazotokana na 10% ya mapato ya ndani ili kutoa mikopo kwa wanawake 4%, vijana 4%, na walemavu 2%, ambapo  katika mwaka wa fedha 2022/2023  Mkoa wa Ruvuma jumla ya fedha   Mil.58,825,492.4     zilitolewa  kwa         vikundi 93  ikiwa  ni sehemu ya fedha zilizotolewa za 10% ya mapato ya ndani ya halmashau


Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa  Komredi  Oddo  Mwisho  amewataka viongozi, wanawake  na  Asasi  mbalimbali  kukemea  na  kupinga  ukatili  na  unyanyasaji  wa kijinsia  ambao  unaendelea  kufanywa   ili kuondoa mila na desturi potofu zinazowakandamiza wanawake  na  kuongeza  ufahamu  juu  ya  haki  na  usawa  katika jamii.

KAULI MBIU;   ubunifu na mabadiliko ya Teknolojia ni chachu katika kuleta  usawa wa          kijinsia.

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • MATANGAZO mbalimbali ya Manispaa ya Songea kwa njia ya Redio January 31, 2020
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2020 January 25, 2020
  • MATANGAZO muhimu kwa wakazi wa Manispaa ya Songea January 31, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIAKA MIWILI YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN " SONGEA MC "

    March 17, 2023
  • BIL 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA.

    March 11, 2023
  • YALIYOJIRI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI RUVUMA

    March 09, 2023
  • DC Songea ameitaka Jamii kupinga Ukatili wa Kijinsia

    March 02, 2023
  • Tazama zote

Video

BIL. 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa