• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI UZINDUZI WA BODI YA AFYA MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: September 3rd, 2021

NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA,

03.09.2021.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema ameongoza kikao cha uzinduzi wa bodi ya huduma ya Afya Halmashauri ya Manispaa ya Songea, kikao kilichofanyika leo tarehe 3 Septemba 2021 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Katika kikao hicho Mgema amesema kuwa mwaka 1994 Wizara ya afya ilianza utekelezaji wa maboresho katika Sekta ya afya na Sekta nyingine ili jamii iweze kuwa na  madaraka zaidi ya kuamua kuhusu huduma za afya zinazotolewa pamoja na kushiriki kikamilifu katika utoaji wa huduma hizo kwa kuunda Bodi za Huduma za Afya za Halmashauri na Kamati za vituo vya huduma.

Aliongeza kuwa bodi hiyo ina jukumu kubwa la kuendelea kuihamasisha jamii kujiunga na mfuko afya ya jamii iCHF iliyoboreshwa ambayo sio tu ni chanzo cha mapato bali pia ni mkombozi wa wananchi kupata huduma ya afya kwa gharama nafuu ambapo lengo la taifa ni kufikia asilimia 30% ya usajili wa kaya katika mfuko huo wa afya ya jamii “Mgema alieleza”.

Mgema alibainisha kuwa Serikali imetoa fedha za kujenga miundombinu ya kutolea huduma za afya pamoja na kuboresha upatikanaji wa dawa kwenye vituo vya afya ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Songea imepata vituo vingi zaidi vya afya kuliko Halmashauri nyingine zote pamoja na fedha za ukamilishaji wa zahanati kubwa 4 ambazo zinaombewa usajili ili ziwe vituo vya afya.

Bodi  ya huduma ya afya imeweka mikakati ya upatikanaji wa miundombinu ya kutosha kwa kufanya ukarabati wa majengo yaliyopo na ujenzi wa majengo mapya pamoja na kuboresho mawasiliano na mfumo wa taarifa.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa