• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZAIDI YA BIL 1 ZATUMIKA KWENYE MRADI WA MAJI KATA YA LILAMBO MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: July 9th, 2020

Kamati ya siasa  CCM Mkoa wa Ruvuma imefanikiwa kutembelea kata ya Lilambo na kukagua Mradi wa Maji  Lilambo A na Lilambo B, ambao umesanifiwa na kuhudumia Wakazi wapatao 11,981 ambao ulianza kutekelezwa 28/05/2019 na kukamilika 31/03/2020 chini Mkandarasi  PNR Services Limited Dar es salaam.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma  Oddo Mwisho akiwakilishwa na Mjumbe wa Mkutano MKuu  CCM Taifa Mussa Homera Katika ziara ya kutembelea Miradi iliyofanyika  08/07/2020 Manispaa ya Songea, ambapo alianza kwa kusema “ Mradi wa maji vijijini na  Mijini ni sehemu ya  Ilani ya uchaguzi ya  chama cha Mapinduzi, na Mafanikio haya ni utekelezaji wa Serikali unaoongozwa  chini ya  Chama cha Mapinduzi. Hivyo aliwaasa Wananchi wote wa kata ya Lilambo pamoja na viongozi kutumia muda wao kuelezea mafanikio yote yaliyofanywa na Mh. Rais DR John Pombe Magufuli.

Homera alisema Kata ya Lilambo kwa sasa haina shida tena ya Maji safi kama ilivyokuwa awali kutokana na huduma hiyo kupatikana kwa ukaribu na kwa uhakika bila usumbufu wowote.

Naye Meneja  wa Ufundi Souwasa  Jafari Yahaya alibainisha kuwa, Kutokana na mabadiliko ya Sheria ya usimamizi wa huduma za maji safi na mazingira, Mkataba wa Mradi huo ulihamishiwa kutoka kwa Wakala wa Maji safi na Mazingira  Vijijini (RUWASA) na kwenda Mamlaka ya Maji Safi na usafi wa Mazingira  Songea (SOUWASA).

Yahaya  Alizitaja kazi zilizofanyika katika mradi huo ni pamoja na ujenzi wa chanzo cha maji, ujenzi wa visima (ring wells), ujenzi wa Tanki la Sump meta za ujazo 25, usambazaji  na ufungaji wa pampu na transfoma ya umeme, pamoja na kupima uwingi wa maji katika chanzo, ujenzi wa kibanda cha mashine.

Aliongeza kuwa kazi nyingine zilizofanyika ili kukamilisha mradi huo ni pamoja na  ujenzi wa uzio meta 160, usambazaji, na uchimbaji wa mitaro na ulazaji bomba, ujenzi wa vituo 18 vya maji, ujenzi wa chemba 4 za kufungia maji, ujenzi wa tanki la lita 150,000, pamoja na tanki la kutibu maji kwa kutumia klorin( calcium hypochlorite).

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KAIMU AFISA HABARI-MANISPAA YA SONGEA 

09/07/2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa