• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA WATAALAMU KUTOKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUVUMA WALIVYOTEMBELEA MIRADI.

Tarehe ya kuwekwa: February 23rd, 2024

Katibu Tawala Msaidizi  Uchumi na Uwekezaji Mkoa wa Ruvuma Jeremiah Sendoro  amewataka wataalamu Manispaa ya Songea kuhakikisha wanendelea  kufuatilia na kusimamia kwa weredi miradi yote inayoendelea kujengwa ili iweze kukamilika kwa wakati.

Miongongoni mwa miradi iliyotembelewa na timu ya wataalamu kutoka ofisi RS Ruvuma ni pamoja na ujenzi wa madarasa 7 Sekondari ya Mdandamo inayojengwa kwa gharama ya Mil. 170.5, ukamilishaji wa Hospitali ya Manispaa ya Songea (jengo la utawala,stoo ya dawa  na Wodi ya wazazi ) inayojengwa kwa gharama ya mil. 800 fedha kutoka Serikali kuu.

Miradi mingine iliyotembelewa ni ujenzi wa madarasa 4 na matundu 10 ya vyoo Sekondari ya Msamala  inayojengwa kwa  Mil. 115.5, ukamilishaji wa matundu ya vyoo Shule ya Msingi Shikizi Mkuzo inayojengwa kwa Mil. 10 fedha za mapato ya ndani, Ujenzi wa madarasa 8 shule ya Sekondari Siri inayojengwa kwa Mil. 192 fedha kutoka Serikali kuu, pamoja na ujenzi wa madarasa 10 shule ya Sekondari Londoni inayojengwa kwa Mil. 242.5 fedha kutoka Serikali kuu ambao upo hatua ya ukuta.

Ziara hiyo imefanyika leo tarehe 23 Februari 2024 ambayo ilishirikisha wataalamu kutoka ofisi ya Mkoa wa Ruvuma pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa lengo la kufanya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI. 


Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa