• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIWA Nyasa lina aina 400 za samaki wa mapambo

Tarehe ya kuwekwa: May 14th, 2018

ZIWA Nyasa linapita katika wilaya za Nyasa mkoani Ruvuma,wilaya ya Ludewa mkoani Njombe na wilaya ya Kyela mkoani Mbeya’

Utafiti umebaini kuwa Ziwa Nyasa lina aina zaidi ya 400 za samaki wa mapambo ambao hawapatikani katika maziwa, mito na bahari sehemu nyingine yeyote katika sayari ya Dunia.

Tafiti zinaonesha kuwa katika Sayari inayoitwa Dunia,hakuna ziwa lenye samaki wa mapambo aina zaidi ya 400,ni ziwa Nyasa pekee,ambalo pia linaongoza duniani kwa kuwa na viumbe wengi katika maziwa yenye maji baridi pia ziwa hilo linaongoza kwa kuwa na maji maangavu.

Kulingana na utafiti ambao ulifanywa na Jumuiya ya nchi zilizo Kusini mwa Afrika(SADC) kwa kushirikiana na  nchi ya Uingereza kwenye ziwa Nyasa kati ya mwaka 1991 hadi 1994 na mwaka 1996 hadi 2000,ulionesha kuwa ziwa hilo lina kiasi cha tani 165,000 za samaki na kati ya kiasi hicho tani 35,000 za samaki.Ziwa Nyasa lina aina 1500 za samaki.

Ziwa Nyasa limezungukwa na nchi tatu ambazo ni Tanzania,Malawi na MsumbIji.Ziwa hilo lipo kwenye usawa wa meta 500 toka usawa wa bahari ambapo kina cha ziwa hilo ni karibu meta 750,urefu wake ni karibu  kilometa 1000 , upana mkubwa ni kilometa 80 na upana mdogo ni kilometa 15.

Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa nchini ambayo imejaliwa kuwa na maeneo ya hifadhi na vivutio vizuri vya utalii kama vile Makumbusho ya Taifa ya Majimaji, Mapango ya Chandamali,majengo ya kihistoria Peramiho, samaki wa mapambo, fukwe na visiwa katika ziwa Nyasa.

Vivutio vingine ni maeneo ya wapigania uhuru nchi za kusini mwa Afrika,mapori ya wanyamapori ya Liparamba, Selous, Litumbandyosi na misitu ya asili ukiwemo msitu katika milima ya Matogoro ambao ni chanzo cha Mto Ruvuma unaomwaga maji yake Bahari ya Hindi.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Mei 14,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa