Tarehe ya kuwekwa: June 16th, 2025
Na; AMINA PILLY
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea, Mheshimiwa Michael Mbano, leo tarehe 16 Juni 2025, ameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika katika Kata ya Mfarany...
Tarehe ya kuwekwa: June 14th, 2025
Na; Amina Pilly
Songea, 14 Juni 2025 – Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea, Mhe. Michael Mbano, ametoa wito kwa familia zote kushiriki kikamilifu katika uchangiaji wadamu kwa hiari, akisisitiza kuw...
Tarehe ya kuwekwa: June 13th, 2025
Na. Amina Pilly,
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa mafanikio ya kupata hati safi kwa mara tano mfululizo kutoka kwa Mdhibiti na Mka...