Tarehe ya kuwekwa: July 11th, 2024
Waziri wa Utamaduni, sanaa, na Michezo amewataka wananchi kutoa kero zao zinazowakabili wananchi kupitia kwenye Mitaa yao ili Serikali iweze kupokea na kutatua changamoto hizo.
Hayo yamejiri ...
Tarehe ya kuwekwa: July 9th, 2024
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro (MB) amewataka wananchi kuwa nasubira wakati ambao Serikali inaendelea kutatua changamoto zao za mipaka ya kata ya Mletele na Seed...
Tarehe ya kuwekwa: July 6th, 2024
Picha za matukio mbalimbali ya wajumbe wa ALAT walipowasili tarehe 03 Julai 2024 katika Mkoa wa Katavi wilaya ya Tanganyika kwa lengo la kujifunza namna ya uendeshaji wa na usimamizi ...