Tarehe ya kuwekwa: April 24th, 2018
UZINDUZI wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi mkoani Ruvuma umefanywa leo na Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme katika shule ya Sekondari ya Bombambili iliyopo Halmashauri ya Manispaa...
Tarehe ya kuwekwa: April 23rd, 2018
MKUU wa wilaya ya Songea ametoa rai kwa viongozi wa dini,wazazi,walezi na jamii kwa ujumla kuacha upotoshaji kuhusu chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi ambayo imeanza kutolewa leo Aprili 23 ...
Tarehe ya kuwekwa: April 21st, 2018
MAFUNZO ya utoaji chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi yalioshirikisha walimu wa afya na wahudumu wa Afya ya msingi Zaidi ya 300 kutoka katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma yamefanyika kwenye uku...