Tarehe ya kuwekwa: December 10th, 2017
MRADI wa maji katika Mtaa wa Ruhuwiko Kanisani Kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea mkoa wa Ruvuma, uliibuliwa na Wananchi wenyewe mwaka wa fedha 2013/2014 na kuanza kujengwa mwaka wa fedha 2014/2015,M...
Tarehe ya kuwekwa: December 8th, 2017
KIJIJI cha Mpepo kipo katika Kata ya Mpepo Halmashauri ya wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma,kilianzishwa mwaka 1967 hadi sasa kina wakazi 3840.
Kata ya Mpepo yenye wakazi 8,978 inaundwa na vijiji vitan...
Tarehe ya kuwekwa: December 7th, 2017
Mpingo ni mti ambao umeadimika sana duniani ,miaka ya karibuni ulikuwa unapatikana kusini mwa Ethiopia na Kenya.
Wataalam wa miti wanasema hivi sasa mpingo unapatikana nchini Tanzania na kask...