Tarehe ya kuwekwa: February 5th, 2018
HATIMAYE Kampuni ya kimataifa ya China inayoitwa China Sichuan International Co-operation ndiyo imeshinda tuzo ya Zabuni ya kuendelea na ujenzi wa barabara za Manispaa ya Songea kwa kiwango cha lami n...
Tarehe ya kuwekwa: February 2nd, 2018
KAMATI ya Fedha na Uongozi ya ya Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Songea imefanya ziara ya kukagua miradi iliyotekelezwa katika robo ya pili.
Miradi iliyokaguliwa ni ujenzi wa machi...
Tarehe ya kuwekwa: February 1st, 2018
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Tina Sekambo amesitisha uchinjaji wa nguruwe katika maeneo yote ya Manispaa hiyo kufuatia kuibuka kwa homa ya nguruwe.
Katika kipindi c...