Mkataba wa ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la umeme katika Mto Rufiji umesaini rasmi Ikulu.Mradi huu utakapokamilika utachochea uchumi wa viwanda,kukabiliana na uharibifu wa mazingira na kuwa kivutio cha utalii
MPANGO WA TUSOME PAMOJA umeendesha Mafunzo ya kuibua na kubadilishana simulizi za mabadiliko kwa wataalam kutoka Halmashauri zote nane za mkoa wa Ruvuma.
BENKI ya NMB taw la Songea mkoani Ruvuma imemaliza tatizo la madawati katika shule ya msingi Mipeta iliyopo kilometa 108 toka mjini Songea,baada ya kutoa mchango wa madawati 150 yenye thamani ya shilingi milioni 10.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa