TAZAMA yaliyojiri katika Mkutano wa Baraza Maalum la madiwani kuwasilisha Taarifa ya Hesabu za kufunga mwaka 2017/2018,kikao ambacho kimefanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea na kuongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji
IKIWA ni takribani wiki moja imepita hadi sasa tangu umeme wa Grid ya Taifa ulipowashwa katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amezidua kiwanda kipya kilichojengwa katika kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea chenye uwezo wa kusaga mahindi tani 30 ambayo ni sawa na magunia 300 kwa siku.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji akizungumza katika mkutano wa Baraza maalum la madiwani wa Manispaa hiyo wenye lengo la kuwasilisha taarifa za Hesabu za kufunga mwaka 2017/2018,amesema kiwanda hicho kimezinduliwa wakati muafaka kwa sababu hivi sasa kitapunguza changamoto za soko la mahindi katika manispaa ya Songea na mkoa wa Ruvuma na kutoa ajira kwa vijana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli akizungumizia muhimu wa halmashauri zote nchini kusimamia mapato. Magufuli amesishia Halmashauri ambazo zinashindwa kukusanya kodi kushishwa hadhi.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa