TAZAMA Rais Dkt.John Magufuli alivyoongoza watanzania kuipokea ndege mpya
MASALIA ya mijusi mitatu iliyoishi miaka milioni 240 yamegundulika katika Hifadhi ya Litumbandyosi Bonde la Ruhuhu mkoani Ruvuma.Ugunduzi huo unaufanya mkoa wa Ruvuma kuwa na aina Mpya ya utalii
MRADI wa ujenzi wa chuo cha Ufundi Stadi VETA Namtumbo mkoani Ruvuma kilichogharimu zaidi ya shilingi bilioni 6.32 umekamilika.Mwakilishi wa VETA na Mkuu wa Chuo cha VETA Songea Gideon Ole Lairumbe amesema majengo yamekabidhiwa VETA na Mwezi ujao vifaa vya Ufundi vinaanza kulelea. na kwamba chuo hicho kitahudumia mikoa yote ya kusini
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa