SHIRIKA lisilo la kiserikali la TUSOME PAMOJA kwa kushirikiana na serikali limechochea kupunguza changamoto ya wanafunzi kutojua KKK katika shule za msingi za Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.Fuatilia makala haya
KAMATI ya fedha na Uongozi ya Baraza la madiwani Manispaa ya Songea imekagua mradi wa barabara katika kiwango cha lami ambapo jumla ya barabara saba zinafanyiwa ukarabati
TAZAMA Falsafa ya magauni manne ambayo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ambayo inaweza kupunguza changamoto ya mimba za utotoni katika Mkoa wa Ruvuma.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa