Diwani wa Kata ya Majimaji Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mheshimiwa Simbili Abdalah Makanyaga anazungumzia ongezeko la tembo katika Pori la Akiba la Selous linavyoathiri wananchi wa Kata yake.Kama tunavyofahamu kuwa wilaya ya Tunduru imezungukwa na pori la selous.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii Meja Generali Gaudance Milanzi alipotembelea Pori la Selous Kanda ya Likuyuseka wilayani Namtumbo alisema serikali imedhibiti vitendo vya ujangili dhidi ya tembo hali ambayo imesababisha tembo kuongezeka kwa kasi na kuleta changamoto kwa wananchi wanaoishi jirani na hifadhi na mapori ya wanyamapori
MTAZAME Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli alivyosimamisha msafara wake Serengeti mkoani Mara kusikiliza kero za wananchi.
Wanafunzi wa darasa saba katika nchi nzima wanafanya mtihani wa Taifa wa darasa la saba kwa siku mbili ambazo ni Septemba 5 na 6,2018.Kama anavyobainisha Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dkt.Charles Msonde
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa