mradiumeanza Mchi 25,2018 na unatarajia kukamilika Septemba 30,2018.Mradi katikaawamu ya kwanza unagharimu zaidi ya bilioni sita ambapo tayari mradi umefikiaasilimia 14.
Kaziambazo zinafanyika awamu ya kwanza katika stendi hiyo ni ujenzi wa lami nzitoyenye kilometa mbili,taa barabarani,maduka 30,vibanda 20 vya tiketi,jengo lautawala,vyoo vya matundu 12 na eneo la kupaki magari.Mradi huo unafadhiliwa naBenki ya Dunia ambapo hadi sasa Mkandarasi amelipwa zaidi ya shilingi bilioni 444.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Juni 28, 2017 alikutana na timu ya wataalamu wa masuala ya umeme na ujenzi wa mabwawa ya maji ya kuzalisha umeme iliyotumwa na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn. kwa lengo la kubadilishana uzoefu na Tanzania.
Mtazame Rais Magufuli akizungumzia utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler’s Gorge Power Project).Mradi huo wa umeme utakapokamilika utaongeza megawati 2,100, zaidi ya megawati 560 zinazozalishwa katika miradi mingine ya maji.
Ujenzi wa awamu ya kwanza wa reli ya kisasa(SGR) umefikia asilimia 16,ukitarajiwa kukamilika Novemba mwaka huu.Reli hiyo itatumiwa na Reli yenye kasi ya kilometa 160 kwa saa na uendeshaji wake utakuwa wa umeme na mafuta
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa