MKUU wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amemwapisha mkuu wa wilaya Mpya wa Namtumbo Sophia Kizigo ili aweze kuanza kazi rasmi ya kuwatumikia wananchi wa Namtumbo.Hafla hiyo imefanyika leo katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa mkoa na kuhudhuriwa na watendaji mbalimbali ngazi za wilaya na mkoa
KATIBU Tawala mpya wa Mkoa wa Ruvuma Profesa Riziki Shemdoe amejitambulisha rasmi kwa watendaji wa wilaya na mkoa wa Ruvuma katika hafla ya kuapishwa Mkuu mpya wa Wilaya ya Namtumbo Sophia Kizigo ambapo ameweza kuvitaja vipaumbele vyake kuhakikisha Mkoa wa Ruvuma unasonga mbele.
MTAZAME Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassan Mshaweji akizungumiza malengo ambayo yamewekwa na Manispaa ya Songea katika mwaka wa Fedha wa 2018/2019 ili kuhakikisha makusanyo ya mapato yanaongezeka
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa