• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Video

  • MAFUNZO ya jitihada za jamii kuchangia miradi ya maendeleo ya jamii

    June 30th, 2018

    MTAZAME Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea ambaye pia ni Diwani wa Kata ya subira Abdul Hasan Mshaweji anasema nia ya Halmashauri ni kusaidia jitihada za wananchi kwa kuwapa moyo na kuendeleza uwezo wa jamii hivyo ameshauri wadau wengine kushirikishwa ili kuchangia badala ya kusubiri serikali ambayo haina fedha za kutosha kutekeleza miradi.Alitoa maoni mara baada ya kupata mafunzo ya jitihada za jamii katika kuchangia miradi ya maendeleo yaliyoshirikisha madiwani wote wa Manispaa ya Songea Juni 29,2018.

  • WALIMU Manispaa ya Songea waaswa kuwa wavumilivu

    June 28th, 2018

    WALIMU katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ambao walipata barua za kupandishwa madaraja na bado hawajarekebishwa mishahara yao wameomba kuvuta subira kwa kuwa serikali kila mwezi inarekebisha mishahara ya walimu waliopandishwa vyeo.Afisa Utumishi Mkuu wa Manispaa hiyo Lewis Mnyambwa amesema majina ya walimu wote ambao walipandishwa madaraja yao katika mwaka wa fedha wa 2015/2016 yameingizwa kwenye mfumo  na kwamba kila mwezi kuna baadhi ya walimu ambao wanarekebishiwa mishahara yao.Amesema katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea idadi ya walimu waliopata barua za kupandishwa madaraja  ni 704 na kwamba idadi hiyo ni kubwa hivyo walimu wanatakiwa kuwa na subira kwa kuwa serikali imekuwa inarekebisha mishahara yao kila mwezi.

  • MILIONI 22 zakamilisha maabara Sekondari ya Matogoro

    June 28th, 2018

    JUMLA ya shilingi milioni 22 zimetumika kwa ajili ya kukamilisha maabara katika shule ya sekondari ya Matogoro iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

    Mkuu wa shule hiyo Ezra Mwogela amebainisha kuwa kati ya fedha hizo,shilingi milioni 17 zimetumika kwa utengenezaji na uwekaji wa samani za maabara na shilingi milioni tano zimetumika kwa ajili ya ukarabati wa maabara.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • 139
  • 140
  • 141
  • 142
  • 143
  • 144
  • 145
  • 146
  • 147
  • 148
  • 149
  • 150
  • 151
  • 152
  • 153
  • 154
  • 155
  • 156
  • 157
  • 158
  • 159
  • 160
  • 161
  • 162
  • 163
  • 164
  • 165
  • 166
  • 167
  • 168
  • 169
  • 170
  • 171
  • 172
  • 173
  • 174
  • 175
  • 176
  • 177
  • 178
  • 179
  • 180
  • 181
  • 182
  • 183
  • 184
  • 185
  • 186
  • 187
  • 188
  • 189
  • 190
  • 191
  • 192
  • 193
  • 194
  • 195
  • 196
  • 197
  • 198
  • 199
  • 200
  • 201
  • 202
  • 203
  • 204
  • 205
  • 206
  • 207
  • 208
  • 209
  • 210
  • 211
  • 212
  • 213
  • 214
  • 215
  • 216
  • 217
  • 218
  • 219
  • 220
  • 221
  • 222
  • 223
  • 224
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIOUNGUA na moto wafikia 102

    August 28, 2019
  • WALIMU Songea washauri kuzingatia alama za usalama barabarani

    August 26, 2019
  • SHERIA za usalama barabarani kuangaliwa upya

    August 26, 2019
  • WAKUU wa Idara Songea wapata mafunzo ya ukusanyaji wa mapato

    August 26, 2019
  • Tazama zote

Video

SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

Tovuti Mashuhuri

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa