MKUTANO wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma limeunga mkono kusitisha nia ya kuanzisha Bodi ya Mfuko wa Elimu katika Manispaa hiyo.Kwa upande wake Diwani Chikwale anasisitiza kuwa rasimu hiyo imeleta usumbufu mkubwa kwa wananchi katika kata na mitaa na kwamba wanawaona kwamba madiwani wameshindwa kuwatetea wananchi.
KAKAKUONA ambaye ni mnyama adimu duniani leo amezua amekuwa kivutio cha aina yake katikaviunga vya manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ,baada ya watu mbalimbalikujitokeza kumshangaa mnyama huyu. Jina kakakuona linatokana na uadimu wake wa kutokuoneka,mnyama huyu huchukuliwa kwamba kuonekana kwake ni bahati kwa namna moja au nyingine.
Soma zaidi hapahttp://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Mambo-13-usiyoyajua-kuhusu--kakuoana/1597296-2611258-ch9dblz/index.html
MTAZAME Kaimu Balozi wa Poland nchini Tanzania Dk.Evelina Lubieniecka akizungumza katika mdahalo wa wafanya biashara kwenye Tamasha la Majimaji Selebuka ndani ya ukumbi wa Manispaa ya Songea.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa