MTAZAME Msemaji Mkuu WA Serikali Dk.Hassan Abbas anazungumza na wahabari nchini kuzungumzia ujio wa ndege nyingine mbili za serikali
SEKTA ya Utalii ni moja ya sekta ambayo inaliingiza Taifa mapato na fedha za kigeni.Hiki ni kivutio cha aina yake ambacho wengi hawajafanikiwa kuona.Tazama namna mbwa anavyowadhibiti simba waili jike na dume kutowashambilia wanyama aina ya swala
MTAZAME Mwekazina Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Denis Mwaitete akizungumzia Manispaa ya Songea ilivyofanikiwa kufuatia ripoti a Mkuaguzi Mkuu wa mahesabu ya serikali CAG.Mwaitete ametoa taarifa hiyo kwenye kikao maalum cha kujibu hoja za ukaguzi kilichofanyika kwenye ukumbi wa manispaa ya Songea
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa