• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Video

  • BARABARA ya Ifinga yatengewa Bajeti mpya

    July 24th, 2018

    MWENYEKITI wa Halmashauri ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma Vestus Mfikwa amewaahidi wakazi wa kijiji cha Ifinga kuwa serikali katika mwaka mpya wa fedha wa 2018/2019 imetenga bajeti ya kutosha kuhakikisha kuwa sehemu korofi katika barabara hizo zinafanyiwa matengenezo makubwa .Amesema kijiji hicho pia kitafungukiwa huduma ya mawasiliano ya simu na kwamba hivi sasa mikataba dhidi ya kampuni ya simu ya hoteli imesainiwa na baada ya mwezi mmoja mkandarasi anatarajia kuanza kujenga mnara wa simu katika kijiji hicho.Kijiji cha Ifinga kinakabiliwa na changamoto ya kukosa miundombunu bora ya barabara hali ambayo inasababisha wananchi kulipia shilingi kati ya 40,000 hadi 70 kusafiri umbali wa kilometa 48.Kijiji hicho pia hakina mawasiliano ya simu.

  • PAROKIA ya Ifinga yafungua ukurasa mpya

    July 23rd, 2018

    PAROKO wa Parokia ya Ifinga Jimbo Kuu Katoliki la Songea Padre John Otete amesema kitendo cha jumuiya ya waumini wa parokia hiyo kuchangia shilingi milioni saba kwa ajili ya ukarabati wa kanisa hilo kumejenga na kufungua ukurasa mpya  na hivyo kuachana na mawezo tegemezi ya kuwasaidia wahisani toka nje ya nchi kuwajengea makanisa.Kanisa katoliki la Mtakatifu Galus Parokia ya Ifinga Jimbo Kuu katoliki la Songea lilijengwa na wamisionari wa kijerumani mwaka 1932 hivi sasa lina miaka zaidi ya 90. Kanisa hili kongwe nchini linahitaji  ukarabati kwa sababu hivi sasa baadhi ya kuta zake zimeweka nyufa pia linavuja hivyo linahitaji ukarabati mkubwa ili kuliokoa lisianguke.Paroko wa Parokia ya Ifinga Padre John Otete anawaalika watu wote wanauguswa kusaidiana na waumini wa Ifinga kuchangia ukarabati wa kanisa hili.Paroko anawaalika watu wote waliopo ndani na nje ya nchi kuchangia ukarabati wa kanisa hili iwe kwa fedha taslimu au vifaa.

  • WAZIRI wa madini abaini wafanyabiashara wanavyowanyonya wachimbaji wadogo Tunduru

    July 21st, 2018

    NAIBU Waziri wa Madini Doto Biteko amefanya ziara katika machimbo ya Ngapa yaliyopo wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma na kuzungumza na wachimbaji wadogo wanaochimba madini ya vito aina ya Gem Stone na kubaini wachimbaji wadogo wananyonywa na wafanyabiashara katika hali inayosikitisha. Imebainika kuwa  baadhi ya wafanyabiashara wananunua madini hayo kwa bei ya chini ambapo wao wanakwenda kuyauza madini hayo mara 15 ya bei walionunulia.Wilaya ya Tunduru haijanufaika na madini tangu mwaka 1996,ambapo kwa mara ya kwanza imepata mapato ya madini katika mwaka 2017/2018 kwa kupata shilingi milioni 66,baada ya ya serikali kurekebisha sheria ya madini ambayo inamwezesha mtanzania kumiliki madini.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • 139
  • 140
  • 141
  • 142
  • 143
  • 144
  • 145
  • 146
  • 147
  • 148
  • 149
  • 150
  • 151
  • 152
  • 153
  • 154
  • 155
  • 156
  • 157
  • 158
  • 159
  • 160
  • 161
  • 162
  • 163
  • 164
  • 165
  • 166
  • 167
  • 168
  • 169
  • 170
  • 171
  • 172
  • 173
  • 174
  • 175
  • 176
  • 177
  • 178
  • 179
  • 180
  • 181
  • 182
  • 183
  • 184
  • 185
  • 186
  • 187
  • 188
  • 189
  • 190
  • 191
  • 192
  • 193
  • 194
  • 195
  • 196
  • 197
  • 198
  • 199
  • 200
  • 201
  • 202
  • 203
  • 204
  • 205
  • 206
  • 207
  • 208
  • 209
  • 210
  • 211
  • 212
  • 213
  • 214
  • 215
  • 216
  • 217
  • 218
  • 219
  • 220
  • 221
  • 222
  • 223
  • 224
  • 225
  • 226
  • 227
  • 228
  • 229
  • 230
  • 231
  • 232
  • 233
  • 234
  • 235
  • 236
  • 237
  • 238
  • 239
  • 240
  • 241
  • 242
  • 243
  • 244
  • 245
  • 246
  • 247
  • 248
  • 249
  • 250
  • 251
  • 252
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WASTAAFU walipwe kwa wakati

    November 27, 2019
  • NYASA ni Benki ya vivutio vya utalii nchini

    November 25, 2019
  • RAIS Magufuli atoa sikun 60 kampuni na Taasisi kutoa gawio

    November 25, 2019
  • MKUTANO wa Baraza la madiwani Manispaa ya Sngea

    November 24, 2019
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

Tovuti Mashuhuri

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa