MTAZAME Afisa wanyamapori wa mkoa wa Ruvuma Sarah Mokeha akitoa mada ya sokwe siku ya maadhimisho ya sokwe duniani ambayo hufanyika kila mwaka Julai 14.Katika mkoa wa Ruvuma maadhimisho hayo yamefanyika katika shule ya sekondari Songea Girls.
MTAZAME Mratibu wa Roots AND Shoots mkoa wa Ruvuma Oddo Ngatunga akielezea sababu za Umoja wa mataifa kuanzisha siku ya sokwe duniani ambayo itakuwa inaadhimishwa kila siku ya Julai 14 kila mwaka.
MTAZAME Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji akitolea ufafanuzi sababu zilizowaondoa wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga kuondolewa katika Barabara kuu ya Sokoine ya Songea
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa