Luteni Kanali Mstaafu Daniel Gangisa (85) ni mmoja wa Brigedi Kamanda aliyeoongoza kumng,oa Dikteta Idd Amini Dada katika ardhi ya Tanzania hadi Uganda mwaka 1979.Shujaa wa Tanzania,Gangisa ni Mstaafu wa JWTZ ambaye anaishi katika Kitongoji cha Chandarua Kata ya Mshangano Wilaya ya Songea Mkoa wa Ruvuma.Gangisa anasema mwaka 1952 alipelekwa kozi ya ukufunzi katika Chuo cha Jeshi cha East African Training Centre kilichokuwa Nakuru nchini Kenya ambapo katika kozi hiyo alisoma na Dikteta Idd Amin Dada wa Uganda,ambaye baadaye alivamia Tanzania mwaka 1978.
MTAZAME Naibu Meya Mstaafu wa Manispaa ya Songea Yobo Mapunda wakati anazungumza katika mkutano wa Baraza la Madiwani mara baada ya muda wake kukamilika na nafasi yake kuchukuliwa na Naibu Meya mpya Judith Mbogoro
MTAZAME Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Judith Mbogoro,alichozungumza mara tu baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa