• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Video

  • MANISPAA ya Songea ilivyofanikiwa kusimamia mahesabu

    July 24th, 2018

    MTAZAME Mwekazina Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Denis Mwaitete akizungumzia Manispaa ya Songea ilivyofanikiwa kufuatia ripoti a Mkuaguzi Mkuu wa mahesabu ya serikali CAG.Mwaitete ametoa taarifa hiyo kwenye kikao maalum cha kujibu hoja za ukaguzi kilichofanyika kwenye ukumbi wa manispaa ya Songea

  • MEYA azungumzia Hati safi ya Manispaa ya Songea

    July 24th, 2018

    MTAZAME Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassan Mshaweji akizungumzia mafanikio ambayo manispaa hiyo imeyapata ikiwemo kupata Hati safi mfululizo kufuatia ukaguzi wa mahesabu ambao umefanywa na CAG.Mshaweji alikuwa anazungumza katika kikao maalum cha kujibu hoja kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme

  • WAUMINI wachangia milioni saba kukarabati kansa

    July 24th, 2018

    WAUMINI wa Kanisa katoliki  Parokia ya Ifinga Jimbo Kuu katoliki la Songea  wamechangia zaidi ya shilingi milioni saba kwa ajili ya ukarabati wa kanisa la parokia hiyo ambalo linahitaji zaidi ya shilingi milioni 68 kufanikisha ukarabati huo.Akitangaza fedha zilizopatikana katika harambee iliyofanyika katika kanisa la Mtakaifu Galus Ifinga,mgeni rasmi Mbunge wa Jimbo la Madaba ambaye aliwakilishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Madaba Vestus Mfikwa,alisema kati ya fedha hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 3.39 na  ahadi ni shilingi milioni 3.6.Kanisa katoliki la Mtakatifu Galus Parokia ya Ifinga Jimbo Kuu katoliki la Songea lilijengwa na wamisionari wa kijerumani mwaka 1932 hivi sasa lina miaka zaidi ya 90. Kanisa hili kongwe nchini linahitaji  ukarabati kwa sababu hivi sasa baadhi ya kuta zake zimeweka nyufa pia linavuja hivyo linahitaji ukarabati mkubwa ili kuliokoa lisianguke.Paroko wa Parokia ya Ifinga Padre John Otete anawaalika watu wote wanauguswa kusaidiana na waumini wa Ifinga kuchangia ukarabati wa kanisa hili.Paroko anawaalika watu wote waliopo ndani na nje ya nchi kuchangia ukarabati wa kanisa hili iwe kwa fedha taslimu au vifaa.Makadirio ya ukarabati ni fedha za kitanzania shilingi milioni 68.Unaweza kuchangia kupitia akaunti ya Benki au Simu kama ifuatavyo:1.JINA LA AKAUNTI:PAROKIA YA MTAKATIFU GALUS IFINGAJINA LA BENKI:NMB TAWI LA SONGEANAMBA YA AKAUNTI:618100352662.MWENYEKITI WA KAMATI UCHUMI NA UJENZI PAROKIA YA IFINGA MR.KINEMO KIHOMANOMPESA 07543349343.MHASIBU MR.GEBHARD NYONIMPESA 07540231154.PAROKO WA PAROKIA YA IFINGA PADRE  JOHN OTETEMPESA 0756313380KUTOA NI MOYO,CHANGIA KAZI YA MUNGU,WOTE MNAKARIBISHWA.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • 139
  • 140
  • 141
  • 142
  • 143
  • 144
  • 145
  • 146
  • 147
  • 148
  • 149
  • 150
  • 151
  • 152
  • 153
  • 154
  • 155
  • 156
  • 157
  • 158
  • 159
  • 160
  • 161
  • 162
  • 163
  • 164
  • 165
  • 166
  • 167
  • 168
  • 169
  • 170
  • 171
  • 172
  • 173
  • 174
  • 175
  • 176
  • 177
  • 178
  • 179
  • 180
  • 181
  • 182
  • 183
  • 184
  • 185
  • 186
  • 187
  • 188
  • 189
  • 190
  • 191
  • 192
  • 193
  • 194
  • 195
  • 196
  • 197
  • 198
  • 199
  • 200
  • 201
  • 202
  • 203
  • 204
  • 205
  • 206
  • 207
  • 208
  • 209
  • 210
  • 211
  • 212
  • 213
  • 214
  • 215
  • 216
  • 217
  • 218
  • 219
  • 220
  • 221
  • 222
  • 223
  • 224
  • 225
  • 226
  • 227
  • 228
  • 229
  • 230
  • 231
  • 232
  • 233
  • 234
  • 235
  • 236
  • 237
  • 238
  • 239
  • 240
  • 241
  • 242
  • 243
  • 244
  • 245
  • 246
  • 247
  • 248
  • 249
  • 250
  • 251
  • 252
  • 253
  • 254
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJINA ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2020

    December 05, 2019
  • KITUO cha afya Mjimwema Songea kilivyofanikiwa kuwafanyia upasuaji wajawazito 594

    December 05, 2019
  • WANAOINGIA kidato cha kwanza kujulina leo

    December 05, 2019
  • MWEZI Desemba ni maalum kwa ajili ya afya na lishe kwa mtoto

    December 05, 2019
  • Tazama zote

Video

Makabidhiano ya Mkataba Soko la Manzese A&B
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

Tovuti Mashuhuri

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa