UTALII ni furaha,tazama maajabu ya mnyama aina ya kiboko ambaye anapiga mswaki kabla ya kula chakula.Furahia utalii wa ndani.Nchi yetu imebarikiwa na Mwenyezi Mungu kuwa na vivutio vya utalii vya aina mbalimbali,
MTAZAME Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma,hatua ambazo amemchukulia dereva wa mabasi ya abiria ambaye kwa makusudi amezidisha abiria kwenye basi lake.Nadhani hili litakuwa fundisho kwa madereva wengine ambao wamekuwa na tabia ya kuzidisha abiria kwa kusimamisha na kuhatarisha maisha pale inapotokea ajali.
MNAZIBAY Ruvuma Marine Park ni kivutio muhimu cha utalii ambacho kinaonesha chanzo cha mto Ruvuma ambao umeanzia milima ya Matogoro Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ambacho kimeendelea hadi Mnazibay Marine PARK mkoani Mtwara kwenye maingilia ya mto Ruvuma katika Bahari ya Hindi.Mto Ruvuma ndiyo mto mrefu zaidi Afrika Mashariki na Kati.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa