Vijana wa kitanzania wenye umri wa miaka kati ya 21 na 35 mnashauri kuomba ufadhili wa mafunzo ya namna ya kutengeneza miradi ya ujasiriamali ambayo yanatarajia kufanyika nchini Ujerumani Oktoba mwaka huu.Tarehe ya mwisho wa kuomba maombi ni Juni 24,2018.Zaidi mtazame Mtaalam wa NEEC anafafanua zaidi.
MRADI wa bustani ya Manispaa ya Songea umekamilika unatarajia kuanza kufanyakazi wakati wowote mwaka huu,ambapo Mkandarasi tayari amekabidhi mradi huo kwa Manispaa.
Mradi huo umefadhiliwa na Benki ya Dunia kwa gharama ya shilingi milioni 399.Hata hivyo mradi huo hadi kukamilika umetumia shilingi milioni 444,fedha zote zikiwa ni za mradi wa Benki ya Dunia
Hii Sio ndoto tena Technolojia Imekua sana, sasa unauwezo wa kuepuka foleni kwa kununua Gari linalo paa we unadhani gari hili litawezekana kuja tanzania na kama litakuja litakua na thamani gani Comment utuambie.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa