Serikali imewasilisha kwa wabunge mpango wa maendeleo wa taifa na kiwango cha ukomo wa bajeti ambayo inakadiriwa kiasi cha shilingi trillion 32.476 kitatumika kwa mwaka 2018/2019 huku asilimia 64 ikitarajiwa kutokana na mapato ya ndani .
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa