Mzee mwenye watoto 70 na wajukuu 300, anaishi wilayani Monduli mkoani Arusha anaitwa.Mzee Meshuko Ole Mapi mwenye umri wa miaka 108 maarufu Mzee Laibon, amelazimika kuwa na shule yake ambapo asilimia 90 ya wanafunzi wote katika shule ni watoto na wajukuu wake.Ana ng'ombe zaidi ya 4000.
MFAHAMU kuku aliyeibua mjadala mitaani
MTAZAME mnyama anayesadikika kuwa anaongoza kwa uvivu duniani ukilinganisha na wanyama wengine
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa