Rc Mndeme akikagua vibanda vya maonesho ya nanenane vya Manispaa ya Songea iliyofanyika Jijini Mbeya.
NI KATIKA ZIARA YA KAMATI YA SIASA CCM MKOA WA RUVUMA ILIVYOWEZA KUTEMBELEA MRADI WA MAJI AMBAO UMEGHARIMU ZAIDI YA BIL 1 HADI KUKAMILIKA, NA WANANCHI 11,981 KUNUFAIKA NA MRADI..
Ni jitihada za Serikali ya Awamu ya tano kuhakikisha wajasiliamali wadogo kupata mikopo bila riba. Mikopo hiyo sasa kuanza kutolewa kila mwezi. Dc Songea asimamia zoezi hilo.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa