HIFADHI ya Taifa ya Saanane ni miongoni mwa Hifadhi za Taifa 16 zilizopo hapa nchini.Hii ndiyo Hifadhi ndogo ya Taifa kuliko zote iliyopo Jijini Mwanza.Fuatilia makala haya
Tazama yaliyojiri wakati wa ufungaji wa kikao kazi cha maafisa habari takriban 400 walioshiriki kikao hicho kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Mwanza.Kikao hicho kilifunguliwa na Waziri Mkuu wa Tanzania na kufungwa na Naibu Waziri wa Habari
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefungua kikoa kazi cha 15 kwa maafisa habari na mawasiliano serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Benki Kuu Jijini Mwanza ambacho kilihudhuriwa na maafisa habari zaidi ya 400.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa