TAZAMA yaliyojiri wakati Rais Dkt.John Magufuli anahutubia wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Ruvuma kuanzia Aprili 4 hadi 9,2019.Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Godfrey Zambi wakati anazungumza na wanahabari ofisini kwake mjini Songea.
Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli katika Mkoa wa Mtwara
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa