WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefungua kikoa kazi cha 15 kwa maafisa habari na mawasiliano serikalini kilichofanyika kwenye ukumbi wa Benki Kuu Jijini Mwanza ambacho kilihudhuriwa na maafisa habari zaidi ya 400.
MANISPAA ya Songea ni miongoni mwa Halmashauri 18 nchini ambazo zinafaidika na miradi ya ULGSP inayowafadhiliwa na Benki ya Dunia.Manispaa ya Songea kupitia miradi hiyo imepewa shilingi bilioni 27 kati ya hizo shilingi bilioni 18 zimeshatumika.
TAZAMA aina mpya ya utalii ambayo inaanzishwa katika kanda mbili ambazo ni Matogoro Geopark na Nyasa Geopark
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa