Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameagiza ukusanyaji mapato katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea kufkia asilimia 81 katika mwaka huu wa fedha na watendaji wote wanaohujumu mapato kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kusimamishwa kazi.
Benki ya NMB imetoa msaada wa kompyuta tano,meza 50 na viti 50 katika shule mbili za sekondari zilizopo wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma
Maandalizi ya kumbukizi ya mashujaa wa Majimaji ambayo hufanyika kila mwaka katika Makumbusho ya Taifa ya Majimaji yanaendelea vizuri kama anavyoeleza Mhifadhi Kiongozi wa Makumbusho hayo Barthazar Nyamusya
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa