Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt John Magufuli imetoa shilingi milioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.
TAZAMA ngoma maarufu ya mganda ambayo asili yake ni wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara Mhandisi Stella Manyanya ametembelea bustani ya Manispaa ya Songea na kufurahishwa na ubunifu uliofanywa katika Mradi huo.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa