Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa ya Rais Dkt John Magufuli imetoa zaidi ya bilioni 1.4 kwa ajili ya ukarabati wa majengo yote ya shule ya Sekondari Songea Girls iliyoanzishwa mwaka 1974 yenye wanafunzi 850 wanaosoma kidato cha tano na sita.
MASHUJAA wa vita vya Majimaji wapatao 66 walivyongwa na wajerumani Februari,27 mwaka 1906 na kuzikwa katika kaburi la pamoja ndani ya Makumbusho ya Taifa ya Majimaji ya Songea.Kumbukizi ya mashujaa hao hufanyika kila mwaka Februari 27 katika Makumbusho ya Taifa ya Majimaji yaliyopo Songea
Serikali ya Awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt.John Magufuli imetoa fedha za ujenzi wa mradi wa kituo cha afya kata ya Ruvuma,Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa