JAKAYA Group ni kikundi cha ngoma ya lizombe cha Lizaboni Manispaa ya Songea ambacho kimeongoza katika Tanzania katika mashindano ya ngoma za asili zilizofanyika Tukuyu Mbeya na kushirikisha vikundi 175
BUSTANI ya Manispaa ya Songea imeanza kuwanufaisha wakazi wa Manispaa ya Songea kwa kupata huduma mbalimbali zinazotolewa ikiwemo chakula,mapumziko na kuburudika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli ametoa maagizo kwa wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wajasirimali wadogo waliopewa vitambulisho hawapati usumbufu wowote wa kudai kulipa kodi
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa