• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Video

  • MANISPAA ya Songea inavyotekeleza program ya maji kwa wananchi

    September 23rd, 2018

    MPAKA kufikia Juni, 2018, upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imefikia asilimia 50.1 sawa na idadi ya watu 45,929 kwa wakazi waishio pembezoni mwa Mji wa Manispaa ya Songea yaani sehemu ambazo Mamlaka ya Maji safi na Taka (SOUWASA) hawajaweza kutoa huduma ya Maji safi na Salama.

    Mkuu wa Idara ya Maji katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mhandisi Samwel Sanya anasema  Halmashauri mwaka 2007 wakati inaanza kutekeleza programu ya maji ilikuwa na asilimia 17 tu na kwamba tangu mwaka 2007 inaendelea Kutekeleza Programu ya maji na Usafi wa Mazingira katika Mitaa 10 ,awamu ya kwanza ambayo ni Mahilo, Chandarua, Muhombezi, Muungano, Mahinya, Ngandula, Ruhuwiko Kanisani, Mitendewawa, Ruhila kati na Liwumbu.

  • MADIWANI Manispaa ya Songea waidhinisha Hesabu za kufunga mwaka 2017/2018

    September 22nd, 2018

    TAZAMA yaliyojiri katika Mkutano wa Baraza Maalum la madiwani kuwasilisha Taarifa ya Hesabu za kufunga mwaka 2017/2018,kikao ambacho kimefanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea na kuongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji

  • KIWANDA chenye uwezo wa kusaga mahindi magunia 300 kwa siku chazinduliwa Songea

    September 22nd, 2018

    IKIWA ni takribani wiki moja imepita hadi sasa tangu umeme wa Grid ya Taifa ulipowashwa katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amezidua kiwanda kipya kilichojengwa katika kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea chenye uwezo wa kusaga mahindi tani 30 ambayo ni sawa na magunia 300 kwa siku.

    Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji akizungumza katika mkutano wa Baraza maalum la  madiwani wa Manispaa hiyo wenye lengo la kuwasilisha taarifa za Hesabu za kufunga mwaka 2017/2018,amesema kiwanda hicho kimezinduliwa wakati muafaka kwa sababu hivi sasa kitapunguza changamoto za soko la mahindi katika manispaa  ya Songea na mkoa wa Ruvuma na kutoa ajira kwa vijana.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • 139
  • 140
  • 141
  • 142
  • 143
  • 144
  • 145
  • 146
  • 147
  • 148
  • 149
  • 150
  • 151
  • 152
  • 153
  • 154
  • 155
  • 156
  • 157
  • 158
  • 159
  • 160
  • 161
  • 162
  • 163
  • 164
  • 165
  • 166
  • 167
  • 168
  • 169
  • 170
  • 171
  • 172
  • 173
  • 174
  • 175
  • 176
  • 177
  • 178
  • 179
  • 180
  • 181
  • 182
  • 183
  • 184
  • 185
  • 186
  • 187
  • 188
  • 189
  • 190
  • 191
  • 192
  • 193
  • 194
  • 195
  • 196
  • 197
  • 198
  • 199
  • 200
  • 201
  • 202
  • 203
  • 204
  • 205
  • 206
  • 207
  • 208
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJINA ya walioteuliwa waandishi wasaidizi na BVR KIT OPERATORS Manispaa ya Songea

    December 24, 2019
  • TANGAZO la Nafasi za kazi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jimbo la Songea mjini

    December 18, 2019
  • TANGAZO la Nafasi za kazi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jimbo la Songea mjini

    December 18, 2019
  • DAKTARI aelezea uhusiano wa tezi dume na mchepuko

    December 12, 2019
  • Tazama zote

Video

HII NI ILANI YA CCM YA SONGEA MJINI.
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

Tovuti Mashuhuri

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa