Mchakato wa kurejesha nchini Fuvu la Jemedari w kabila la wangoni Nduna Songea Mbano kutoka nchini Ujerumani,unaendelea vizuri.
Mti unaoitwa Chikunguti,kitaalam dichrostachys cinerea wenye uwezo wa kuishi hadi miaka 1000 ni kivutio kingine cha utalii ndani ya makumbusho ya Taifa ya Majimaji yaliyopo mjini Songea mkoani Ruvuma.
TAASISI na kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Ruvuma imewafikisha mahakamani watumishi sita wa umma kwa tuhuma za rushwa.Hayo yamesemwa na Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoani Ruvuma Owen Jasson wakati anatoa taarifa ya utendajikazi wa Taasisi hiyo katika kipindi cha kuanzia Oktoba hadi Desemba 2018.
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa